Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Hawa Taifa Stars wanatuchafulia sana wanatumia pesa za bure za Wananchi kwa iyo ni bora tuwafungulie kesi ya matumizi mabaya ya pesa zetu ivyo tuwauunganishe tu na boss wao maana huu ni uzembe kazini
Nawakilisha
Nawakilisha