SAUTI YA WANYONGE20
Member
- Mar 5, 2014
- 7
- 0
Takribani siku tatu zimepita tokea post za ualimu zitangazwe na tamisemi,ila kinachonishangaza ni kutokupangiwa vituo vya kazi wanafunzi waliosomea shahada ya sana na ualimu katika chuo cha St John University of Tanzania(Dodoma campus) .Na tokea watangaze hizo post hawajatoa tamko lolote linalo huasia na kutokuwapangia wahitimu hao vituo vya kazi.
Je hili limechangiwa na nini? ingekua na vyuo vingine hawajapangiwa wa masomo hayo ingekua kawaida ila kwanini iwe chuo kimoja tu?
Je Tamisemi wanamakusudi gani kutokutoa tamko lolote linalohusiana na tatizo hilo?
Je ni st John tu au kuna chuo kingine ambapo wahitimu wa sana na ualimu hawajapangiwa vituo vya kazi?
Ndugu zangu mwenye taarifa zozote zinazohusiana na taarifa hizi unaweza nipa habari ili nielewe chanzo cha kutokupangiwa kwa wahitimi wa St john-capus ya Dodoma.
INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO!
Asanteni:canada::A S 103::A S 103:
Je hili limechangiwa na nini? ingekua na vyuo vingine hawajapangiwa wa masomo hayo ingekua kawaida ila kwanini iwe chuo kimoja tu?
Je Tamisemi wanamakusudi gani kutokutoa tamko lolote linalohusiana na tatizo hilo?
Je ni st John tu au kuna chuo kingine ambapo wahitimu wa sana na ualimu hawajapangiwa vituo vya kazi?
Ndugu zangu mwenye taarifa zozote zinazohusiana na taarifa hizi unaweza nipa habari ili nielewe chanzo cha kutokupangiwa kwa wahitimi wa St john-capus ya Dodoma.
INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO!
Asanteni:canada::A S 103::A S 103: