Mh waziri Tamisem Angela Kairuki, wiki hii ametangaza chaguzi/selection za vijana wa kidato cha nne kujiunga na kidato cha tano pamoja vyuo mbalimbali.
Miaka ya nyuma vijana wote waliokuwa wakijiunga na vyou vya ufundi pamoja na uwalimu serikali ilikuwa inacover gharama zote au baadhi. Leo hii unampangia mtoto kutoka huko wilaya ya Misenyi aje kusoma chuo cha mwl Nyerere Diploma ada zaidi ya laki 9.
Mzazi hata uwezo wa nauli kufikisha mtoto wake Dar hana, ada atapata. Nimeajribu kuwasiliana na Tamisemi nimeambiwa kuwa waandike barua kwa katibu tawala wa mkoa kumueleza changamoto hii.
Nadhani hizi chaguzi zingejikita kuangalia hasa mazingira wanakotoka vijana, kama kuna ukakasi na wazazi wanashindwa somesha vijana wao elimu ya juu, huku chini inakuaje.
Miaka ya nyuma vijana wote waliokuwa wakijiunga na vyou vya ufundi pamoja na uwalimu serikali ilikuwa inacover gharama zote au baadhi. Leo hii unampangia mtoto kutoka huko wilaya ya Misenyi aje kusoma chuo cha mwl Nyerere Diploma ada zaidi ya laki 9.
Mzazi hata uwezo wa nauli kufikisha mtoto wake Dar hana, ada atapata. Nimeajribu kuwasiliana na Tamisemi nimeambiwa kuwa waandike barua kwa katibu tawala wa mkoa kumueleza changamoto hii.
Nadhani hizi chaguzi zingejikita kuangalia hasa mazingira wanakotoka vijana, kama kuna ukakasi na wazazi wanashindwa somesha vijana wao elimu ya juu, huku chini inakuaje.