GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ni kama ndoto, lakini si mbali! Bendera ya Tanganyika huru itapepea tena kwa uhuru!
Ni kama ndoto lakini si mbali, Rais wa Tanganyika atakalia tena kiti chake kwa mujibu wa katiba ya Tanganyika!
Kama kuna asiyetaka hilo aondoke tu Tanganyika kwa sababu hakuna namna ila hii ndoto kutimia!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu mbariki Rais wa Tanganyika!
Mungu wabariki watu wa Watanganyika!
Mungu wabariki wote waitakiao mema nchi ya Tanganyika!!!
Ni kama ndoto lakini si mbali, Rais wa Tanganyika atakalia tena kiti chake kwa mujibu wa katiba ya Tanganyika!
Kama kuna asiyetaka hilo aondoke tu Tanganyika kwa sababu hakuna namna ila hii ndoto kutimia!
Mungu ibariki Tanganyika!
Mungu mbariki Rais wa Tanganyika!
Mungu wabariki watu wa Watanganyika!
Mungu wabariki wote waitakiao mema nchi ya Tanganyika!!!