Kwanini Tanzania haiko tayari kunakili mfumo wa maendeleo ambao tayari umeonekana kufanikiwa katika nchi zilizoendelea kama vile Ulaya na Amerika/US?

Kwanini Tanzania haiko tayari kunakili mfumo wa maendeleo ambao tayari umeonekana kufanikiwa katika nchi zilizoendelea kama vile Ulaya na Amerika/US?

Mfumo wowote una mambo ya kuangaliwa mpaka uweze kukupa matokeo mazuri yaan Big Result Now (BRN)
 
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

Kwanini?
Kama mfumo upi? Hao unaoita wamefanikiwa walipigia stages nyingi zaidi ambazo nasi pia tunazipitia.
 
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

Kwanini?
mjadala mzuri,
je unaamini hicho kitu kinawezekana? mifumo ya kidunia lazima kuwe na Simba na swala ndo ecosystem itabalance.

Mo, bahresa, gism
 
sasa taakoh la nyani aweze kufanya vitu vilivofanywa na muzunguh kweli?
 
Wanakili Tume Huru Ya Uchaguzi?

Wanakili Katiba Bora?

Wanakili Utawala Bora?

Wanakili Mfumo Wa Mahakama Wa Utoaji Haki?

Wanakili Uwajibishwaji Wa Viongozi?

Nani? CCM?
 
Hawa kina Mistachea na Niko tafu ndio wawaze hayo kwa watoto walio nje mfumo wa kusifu na kuabudu ?.
 
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

Kwanini?
Za kuambiwa unachanganya na zako na sio kuiga kila kitu kinachofanywa na nchi za ulaya/Marekani na kuamua kukileta kwako kabla ya kujiridhisha kama kitafaa kwa mazingira ya nchi yako.
Ghafla tu tuanze kuiga mifumo yao wakati tayari wametuacha mbali sana kwenye upande wa Sayansi na Teknolojia, utamaduni wao ni tofauti kabisa na wakwetu.
Tuanze kuparamia mifumo ya nchi iliyojipatia uhuru wake miaka ya 1770's na kuilinganisha na mifumo yetu kwa nchi changa kama yetu iliyojipatia uhuru wake 1960's.
Hivi kweli huko shuleni ndiyo mnajifunza ujinga kiasi hicho au ndiyo akili za kijiweni baada ya kupata sigara bwege
 
Za kuambiwa unachanganya na zako na sio kuiga kila kitu kinachofanywa na nchi za ulaya/Marekani na kuamua kukileta kwako kabla ya kujiridhisha kama kitafaa kwa mazingira ya nchi yako.
Ghafla tu tuanze kuiga mifumo yao wakati tayari wametuacha mbali sana kwenye upande wa Sayansi na Teknolojia, utamaduni wao ni tofauti kabisa na wakwetu.
Tuanze kuparamia mifumo ya nchi iliyojipatia uhuru wake miaka ya 1770's na kuilinganisha na mifumo yetu kwa nchi changa kama yetu iliyojipatia uhuru wake 1960's.
Hivi kweli huko shuleni ndiyo mnajifunza ujinga kiasi hicho au ndiyo akili za kijiweni baada ya kupata sigara bwege
usifynge mjadala mapema hivi, naongezea

Kama tunataka kunakili, tusianze hapa juu juu, turudi Hadi kwenye slavery huko
 
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

Kwanini?
Huku kipaumbele ni kuimba mali za umma na siyo maendeleo
 
Kuendelea kunahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu wa kufungisha wananchi wake mikanda. Mpo tayari? Au mtakimbilia majukwaani kupiga kelele?
 
Kunakili mfumo siyo shida!
Tatizo lipo kwenye utashi wa kisiasa kuleta hayo Maendeleo.
Kibaya zaidi vijana wengi Tz wamebobea zaidi kwenye betting, Uyanga na Usimba kuliko kuangazia mifumo ya uongozi wa nchi yao kama inawapeleka kwenye maendeleo au la!
 
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

Kwanini?
Mifumo inayoweza kufanya kazi kwao sio lazima iweze kufanya kazi kwetu.tunamazingira tofauti.
 
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

Kwanini?
Tuchague mifumo imara kutokana na mazingira yetu.
Huwa najiuliza sana hili swali lakini sipati picha majibu kabisa..

Mfumo wa utawala, sheria, elimu, miundo mbinu, jamii, n.k. ni mzuri sana ukilinganisha na nchi ya Tanzania.

wanini?
 
Za kuambiwa unachanganya na zako na sio kuiga kila kitu kinachofanywa na nchi za ulaya/Marekani na kuamua kukileta kwako kabla ya kujiridhisha kama kitafaa kwa mazingira ya nchi yako.
Ghafla tu tuanze kuiga mifumo yao wakati tayari wametuacha mbali sana kwenye upande wa Sayansi na Teknolojia, utamaduni wao ni tofauti kabisa na wakwetu.
Tuanze kuparamia mifumo ya nchi iliyojipatia uhuru wake miaka ya 1770's na kuilinganisha na mifumo yetu kwa nchi changa kama yetu iliyojipatia uhuru wake 1960's.
Hivi kweli huko shuleni ndiyo mnajifunza ujinga kiasi hicho au ndiyo akili za kijiweni baada ya kupata sigara bwege
Kuna shida gani kuwa na mahakama Huru?
Kuna shida gani kuwa na tume huru?
Kuna shida gani kuwa na chaguzi huru?
Kuna shida gani kuwa na utawala bora na uwajibikaji wake?

Hizo ndio basics za ku copy and paste. Mengine yatafuata na yataletwa na viongozi bora waliopatikana kutoka mifumo bora ya utawala.
 
Back
Top Bottom