KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Mfumo ambao Tanzania unaweza kuunakili na kufanikiwa ni mfumo wa China tu kwa sababu katika kipindi cha ukuaji wa kimaendeleo China na Tanzania hatujapishana sana yaani maendeleo haya yaliopo China ni ya miaka 20-30 tu hivyo tukijifunza kutoka kwao itakuwa ni rahisi kuwafikia ila kwa Marekani na Ulaya mifumo yao imejengwa kwa karne kadhaa na huwezi kutumia mfumo wa karne kadhaa na ufanikiwe kufika walipofika