Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Tunayoyaona ni Matokeo ya maandalizi mabovu. Timu haina bajeti, badala yake inabidi tufanye harambee
Tena harambee yenyewe inafanyika tayari timu ipo Ivory Cost, sijajua hizo pesa zilikuwa za wachezaji au za kazi gani. Ni kwamba wizara haikufahamu kuhusu haya mashindano?
Tena harambee yenyewe inafanyika tayari timu ipo Ivory Cost, sijajua hizo pesa zilikuwa za wachezaji au za kazi gani. Ni kwamba wizara haikufahamu kuhusu haya mashindano?