Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudia kusoma kwa makini, read btn the lines and connect dots utanisomaSasa uwanja ndo utatufanya tufke mbali khaaaa we jamaa vp mbona cjakusoma kabisa
Ni kwamba hatuna mipango endelevu ya kuendeleza soka letu, tumeridhika na ujenzi wa uwanja tutaishia kucheza hapahapa na sio mikakati ya kufika mbali kwenye mashindano ya kimataifa ikiwemo kombe la dunia urusirudia kusoma kwa makini, read btn the lines and connect dots utanisoma
Ni kwamba hatuna mipango endelevu ya kuendeleza soka letu, tumeridhika na ujenzi wa uwanja tutaishia kucheza hapahapa na sio mikakati ya kufika mbali kwenye mashindano ya kimataifa ikiwemo kombe la dunia urusiHuna point ww
Fact[emoji109][emoji109]wakati nchi ina adabu na kila kitu tulikuwa tunajitahidi kufuata sheria ,maendeleo ya soka yalikuwepo ukilinganisha na wakati huu,bila Developing programmes kuanzia taifani hadi kwenye mtaa ni ngumu mno,kipindi hicho kila timu kubwa mfano Yanga na Simba zilikuwa na mipango mizuri sana na kugundua vipaji vya wachezaji na kuwaingiza kwenye mfumo wa kuwaendeleza,kumbuka timu zao B na Kids zilikuwa ndio source kubwa ya kupata wachezaji bora,wachezaji kama Kasimu Manara.Mohamed Richard,Juma Pondamali wote hawa walitokea Yanga kids,sasa timu gani ina mfumo huu?kivhwa cha mwendawazimu kitaendelea kuwepo,ni lazima tuwe na mipango na malengo nini tunahitaji kuyafikia katika soka.