Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kura ya kuilaani Urusi kwa kitendo chake cha kuyaongezea majimbo ya Donesk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia kwenye ramani ya nchi yao imepigwa kwenye Umoja wa Mataifa, huku Tanzania ikiamua kutochagua kulaani wala kupinga Urusi kulaaniwa.
Hii si mara ya kwanza kwa Tanzania kutochukua upande (Abstention) kwenye mambo yanayoihusu Urusi. Sisi kama taifa msimamo wetu ni upi?
Hii si mara ya kwanza kwa Tanzania kutochukua upande (Abstention) kwenye mambo yanayoihusu Urusi. Sisi kama taifa msimamo wetu ni upi?