Kwanini Tanzania mafuta ya petrol na diesel ni ghali kuliko wanufaika wa bandari yetu?!

Kwanini Tanzania mafuta ya petrol na diesel ni ghali kuliko wanufaika wa bandari yetu?!

Malchiah

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2021
Posts
1,928
Reaction score
20,577
Habari ya uzima ndugu zangu?
Nimewaza sanaaa hili jambo,maana naona namna mwananchi wa chini kiuchumi anavyoendelea kuminywa kupitia ongezeko la mafuta.

Ni miezi miwili imepita madereva mkoani Mbeya walikuwa wanakimbilia Zambia kununua mafuta,maana ni bei nzuri kuliko kwetu. Au ndio tunakomoana wenyewe Kwa wenyewee?

Hivi serikali haioni namna nyingine yeyote ya kumrahisishia maisha mwananchi wa kawaida kukabiliana na adha ya mfumuko wa bei?

Kuna wakati namkumbuka Magufuli,kuna vitu alisimamia na kuvitekeleza vikampa hauweni "mnyonge",now naona "mnyonge" akinyongelewa.
 
Soko la nje la crude oil (in usd),na je unanunua crude iol or refined one?,exchange rate ya ths.na usd,na kodi za ndani;vitu hivyo ndivyo vinavyoleta bei kuwa juu au chini,Botswana kama Zambia ni land locked country ila mafuta yake ni P10 kwa lita! Tufanye kazi smart sio hard ili uchumi wetu uongezeke na pls my finance minister ondoa zero zote kwenye ths yetu na pag ths yetu kwa Botswana pula,then tuanze upya kuijenga nchi yetu na tujenge wote sio kuwaachia ccm pekee!
 
Back
Top Bottom