Kwanini Tanzania one (T.O) kidato cha nne hawakimbizi kidato cha sita?

Kwanini Tanzania one (T.O) kidato cha nne hawakimbizi kidato cha sita?

Kuna kijana aliteseka na ma PCM yake akapiga computer science now anasaga lami mtaani kila siku kunisumbua nimpe connection serikalini wakati hali imechafuka siku hizi...

Nawapongeza kuwa na higher expectations inawapa courage but ukija kwenye real life ni stress tupu....
du noma sana
 
Kuna mtu anaitwa martin chegere.

Aliongoza darasa la saba mwaka 2000 akaja ongoza kidato cha nne mwaka 2004 akaja ongoza form six mwaka 2007. Kawa best student UDSM mwaka 2010 hapa alivunja rekod ya prof. Lipumba.

Kakimbiza saana masterz kwa wana economics pale UDSM
Saiz anatia adabu huko nje anapofanya PHD yake.

atakuwa kabilikiwa huyo
 
Wakuu naombeni kujuzwa waliofaulu vizuri form iv huwa wanaendelea kukimbiza vidato vinavyofuata? Alie na hizo data aweke hapa.
ni wachache sana tena ni nadra kwa Kumantain level zote wengi hupotezwa advance
 
Grades dont measure intelligence and age doesn't define maturity...
 
Wakuu naombeni kujuzwa waliofaulu vizuri form iv huwa wanaendelea kukimbiza vidato vinavyofuata? Alie na hizo data aweke hapa.


Mi hata sijawahi kuwepo laki moja bora kitaifa kuanzia la saba mpaka fomu sikisi... Hapa hapanifai..
 
KUNA DENTI MWINGINE ANAITWA Lucy Light alikimbiza form 4 & 6
 
Back
Top Bottom