radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
- Thread starter
- #21
du noma sanaKuna kijana aliteseka na ma PCM yake akapiga computer science now anasaga lami mtaani kila siku kunisumbua nimpe connection serikalini wakati hali imechafuka siku hizi...
Nawapongeza kuwa na higher expectations inawapa courage but ukija kwenye real life ni stress tupu....