Kwanini Tanzania peke yake wanaojua kuongea english wanaitwa wasomi?

Kwanini Tanzania peke yake wanaojua kuongea english wanaitwa wasomi?

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Ukiangalia katika nchi za Afrika ya mashariki ni Tanzania pekeyake mtu anayeongea english uitwa msomi.

Hii inapelekea watu kuanza kuchanganya lugha anapoongea ili haonekane msomi.

Ukienda Uganda na Kenya english inazungumzwa na kila mtu iwe makondakta hadi machinga ata watoto wa mtaani.

Rwanda japo lugha yao kuu ni kinyarwanda pia kifaransa inafundishwa ukiongea english ni kawaida tu kama mtu anavyoongea kifaransa.

Umu ndani JF kuna watu wanaitwa wasomi sababu tu ya kuandika kwa english.

Sasa kwa nini Tanzania ukiongea english uitwe msomi.
 
You've got a point. Ni kutojielewa tu.
Though On the other hand ni mapenzi ni kama kuchagua kuvaa t-shirt na Jeans. Au kuvaa Suit na Tie. Ukiwa na suit & tie utapata heshima zaidi. That's nature.
 
:juggle: I am playing now,
:hat: My brother is an opium smoker.
:flypig: My girlfriend is an Angel.
 
Huo ni utamaduni umejengeka toka enzi za wakoloni aliyeenda kusoma kwenye shule zao zile alipewa akanafasi kwakuwa tayari aliweza kuwasiliana na wazungu na watu wake,kama unavyojua rangi nyeupe inavyothaminiwa kwahiyo yoyte aliyeonekana akiongea na hawa wazungu tayari jamii ilimuona msomi na hali hiyo ipo mpaka leo na ndiyo maana anayeongea kiingereza anaonekana msomi
 
Ni wasomi au aliyeenda shule ?ila tukubaliane kitu kimoja ,kwa tanzania hii lugh,a ya kiingereza asilimia kubwa ni ya kujifunzia darasani huwa haiokotwi mitaani kama lugha zingine katika maeneo ya kitalii mfano unakutana na watoto wanaongea kitaliano bila kuhudhuria darasa husika.
 
Ukiangalia katika nchi za Afrika ya mashariki ni Tanzania pekeyake mtu anayeongea english uitwa msomi.

Hii inapelekea watu kuanza kuchanganya lugha anapoongea ili haonekane msomi.

Ukienda Uganda na Kenya english inazungumzwa na kila mtu iwe makondakta hadi machinga ata watoto wa mtaani.

Rwanda japo lugha yao kuu ni kinyarwanda pia kifaransa inafundishwa ukiongea english ni kawaida tu kama mtu anavyoongea kifaransa.

Umu ndani JF kuna watu wanaitwa wasomi sababu tu ya kuandika kwa english.

Sasa kwa nini Tanzania ukiongea english uitwe msomi
.

Wajinga wengi. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Serikali ndio chanzo cha tatizo.Embu check mwanzoni kabisa ukiwa umefahulu shule za serikali unaonekana wewe ndio kichwa,mambo taratibu yakabadirika,sasa hivi ukiwa unasoma private unaonekana ndio kichwa na serikalini vice-vesre. Mtoto akipelekwa Medium School na akiweza kuongea English basi huyo ana akili bila kujua English siyo CONTENT bali ni lugha kama lugha nyingine ikiwemo KISWAHILI.
 
Ukiangalia katika nchi za Afrika ya mashariki ni Tanzania pekeyake mtu anayeongea english uitwa msomi.

Hii inapelekea watu kuanza kuchanganya lugha anapoongea ili haonekane msomi.

Ukienda Uganda na Kenya english inazungumzwa na kila mtu iwe makondakta hadi machinga ata watoto wa mtaani.

Rwanda japo lugha yao kuu ni kinyarwanda pia kifaransa inafundishwa ukiongea english ni kawaida tu kama mtu anavyoongea kifaransa.

Umu ndani JF kuna watu wanaitwa wasomi sababu tu ya kuandika kwa english.

Sasa kwa nini Tanzania ukiongea english uitwe msomi.
Na si ni ukweli kwani?
 
Tatizo tanzania makabila mengi ,kilakabila na lugha yao hivyo hapa lugha ya wasomi lazima itapatikana tu.
 
Kwa mtazamo wangu nahisi kutokana na lugha yetu ya taifa kutumika zaid na english watz wengi tunajifunzia darasani
 
Kwa Tanzania ni kweli maana kama haujapiga hata kidato ki1 huwezi kupasua mayai labda uishi na mzungu au asiyejua kiswahili tangu utotoni au uishi nje ya bongo hata kama haujasoma utakijua. Ndo maana ukiongea obvious inajulikana umepiga kidato.

Ila kwa nchi ambazo wao lugha yao kuu ni english hata mtoto wa mtaani ata jua tu kupasua mayai coz kakulia kwa lugha hiyo tofaut na bongo ambapo lugha ya kwanza kibantu ya pili kiswahili ya tatu mi english.
 
Kwa Tanzania ni kweli maana kama haujapiga hata kidato ki1 huwezi kupasua mayai labda uishi na mzungu au asiyejua kiswahili tangu utotoni au uishi nje ya bongo hata kama haujasoma utakijua. Ndo maana ukiongea obvious inajulikana umepiga kidato.

Ila kwa nchi ambazo wao lugha yao kuu ni english hata mtoto wa mtaani ata jua tu kupasua mayai coz kakulia kwa lugha hiyo tofaut na bongo ambapo lugha ya kwanza kibantu ya pili kiswahili ya tatu mi english.

Mwalimu hapa umenena kitu sahihi kabisa. Mbali na mda husika ninaomba unitumie link au vitabu vya kujifunza lugha ya Kiigereza katika hatua zote maana kw msemo wako hli yai linatuwia vigumu sana sisi Watanzania hususani mimi kulivunja japo kwa kiwango cha kawaida. Natanguliza shukrani.
 
Mwalimu hapa umenena kitu sahihi kabisa. Mbali na mda husika ninaomba unitumie link au vitabu vya kujifunza lugha ya Kiigereza katika hatua zote maana kw msemo wako hli yai linatuwia vigumu sana sisi Watanzania hususani mimi kulivunja japo kwa kiwango cha kawaida. Natanguliza shukrani.

hahaha me mwenyewe sipasui vizuri mayai but vitabu nilivyokuwa nafundishwa primary na nilivyokuwa na fundishia mimi nursey ni hardcopy ila nadhani ukigoogle utapata vitabu vingi hasa tafuta vya beginers stage.
 
Ukiangalia katika nchi za Afrika ya mashariki ni Tanzania pekeyake mtu anayeongea english uitwa msomi.

Hii inapelekea watu kuanza kuchanganya lugha anapoongea ili haonekane msomi.

Ukienda Uganda na Kenya english inazungumzwa na kila mtu iwe makondakta hadi machinga ata watoto wa mtaani.

Rwanda japo lugha yao kuu ni kinyarwanda pia kifaransa inafundishwa ukiongea english ni kawaida tu kama mtu anavyoongea kifaransa.

Umu ndani JF kuna watu wanaitwa wasomi sababu tu ya kuandika kwa english.

Sasa kwa nini Tanzania ukiongea english uitwe msomi.
Ni mtazamo tu na uelewa wa mtu anayemwita mwenzake msomi eti kwa sababu ameongea au kuandika Kingereza.It is all abput "perception"
 
Waachen waitwe wasom kwan wewe hujui luga yetu n ipi,kingereza n darasan tu ndo utakpta,au wewe umekijulia wap
 
Siyo Tanzania tu. Hata Kenya wanaoongea kiingereza kizuri ni wasomi na mbaya zaidi kule ukiwa na English nzuri unaonekana tajiri. Hata Africa ya Kusini kiingereza ni cha wasomi na wageni
 
Back
Top Bottom