Kwanini Tanzania tuko kwenye orodha ya nchi zisizo na furaha? Je, ni kweli hatuna furaha?

Kwanini Tanzania tuko kwenye orodha ya nchi zisizo na furaha? Je, ni kweli hatuna furaha?

Haya maneno ya raisi yanaonyesha kuwa hana furaha kabisa, je watu anaowaongoza watapata wapi furaha?
Screenshot_20201117-092141.jpg
 
Je serikali ndio chanzo cha watu kutokuwa na furaha?
Serikali hii ya ccm ndio inasababisha watu kuwa na huzuni,
mwaka 2014 sukari ilikuwa inauzwa shs 1500 (huku kwetu mikoani) leo hii sukari imefika shs 3500, wakati huohuo bei ya kilo moja ya pamba (chanzo cha mapato kwa wakulima) imebaki palepale yaani shs 1200, hapa mkulima atapata wapi furaha ??
Cement imepanda (baada ya magufuli kutumia hila kujiapisha) kutoka shs 17000 mpaka shs 22000
Kodi naTozo kwenye biashara ni kubwa isiyoakisi hali halisi na kupelekea watu wengi kushindw kulipa na kuishia kufungiwa biashara zao
Baadhi ya watu unaowaona wana furaha wanajilazimishaa tu kufurahi, mtu mwenye furaha ya kwenye utamuona hata usoni akimaanisha furaha
 
Je wewe unanfuraha?
Unafurahi kusikia maelfu ya wanafunzi wamehitimu lakini hakuna ajira? Unafurahi kusikia kuwa wengi wameuliwa Pemba ili mtoto wa boss awe rais? Kwenu mwapata maji safi na salama kila kaya? Je mna maisha Bora? Au ndio unafiki tu wa Watanzania kama asemavyo Khantwe ?
Mkuu umeandika vema, tuendelee kuwaambia hawa vijana wa ali hassani ili wajue hatuko sawa na wao
 
Watu wengi hudhani utajiri na furaha ya mtu mmoja mmoja huletwa na serikali lkn si kweli. Nchi hii hii iliyoitwa inauchumi wa kati ndio inatajiri wa kwanza kwa umri mdogo barani Afrika.
Lakini jambo la ziada ni kuwa unatumia vipimo gani kubaini mwenye furaha na asiye na furaha ? Tukiambiwa kipimo huenda na sir tukapima kwa nchi zao pia sio lazima na sie tuwe wakuambiwa tu.
 
1.Ajira zimekua ngumu kwa vijana.

2.Watu wanapotea kusipojulikana.

3.Wazee wana pigwa chenga kwenye mafao yao.

4.Ndani ya miaka mitano,hamna promotion yoyote kazini.

5.Hamna ongezeko la mshahara.

6.Riba ya Heslb kutoka 3% mpaka 15%.

7.Bei ya cement from 11,500Tzsh mpaka 22,000Tzsh.

Kwa hizo sababu hapo juu,hiyo furaha inatoka wapi ndugu yangu Bujibuji?.
 
Watu wengi hudhani utajiri na furaha ya mtu mmoja mmoja huletwa na serikali lkn si kweli. Nchi hii hii iliyoitwa inauchumi wa kati ndio inatajiri wa kwanza kwa umri mdogo barani Afrika.
Lakini jambo la ziada ni kuwa unatumia vipimo gani kubaini mwenye furaha na asiye na furaha ? Tukiambiwa kipimo huenda na sir tukapima kwa nchi zao pia sio lazima na sie tuwe wakuambiwa tu.
Hivi kama Mheshimiwa Rais anasema hana furaha, na hata mkewe kashindwa kumfurahisha, wewe ambangwele wa mabonde kwinama, unapata wapi furaha?
 
Hivi kama Mheshimiwa Rais anasema hana furaha, na hata mkewe kashindwa kumfurahisha, wewe ambangwele wa mabonde kwinama, unapata wapi furaha?
Mkuu ni wachache sana wanaweza kukuelewa, kama mtu anaweza kusema kwamba "eti tanzania inae tajiri mwenye umri mdogo zaidi afrika", kwamba hatuoni aibu kuwa na kijana mmoja tajiri kati ya watu millioni 55 waishio hapa nchini !!, ni fedheha kwa nchi kubwa kama hii kuwa na tajiri mmoja tu, na lkama ulivyosema hapo juu, endapo rais analilia hata uso wake ukimuona utadhani amemeza chroloquine, mke wake nae tunamuona akiwa hata uso wa furaha !!, vipi sisi wengine ?, si unaweza kujikuta umekufa ukiwa unatembea !!, watu wanadhani tu wazima, kumbe !!
 
Watu wengi hudhani utajiri na furaha ya mtu mmoja mmoja huletwa na serikali lkn si kweli. Nchi hii hii iliyoitwa inauchumi wa kati ndio inatajiri wa kwanza kwa umri mdogo barani Afrika.
Lakini jambo la ziada ni kuwa unatumia vipimo gani kubaini mwenye furaha na asiye na furaha ? Tukiambiwa kipimo huenda na sir tukapima kwa nchi zao pia sio lazima na sie tuwe wakuambiwa tu.
Kwani we una furaha mkuu?
 
Elimu kweli ni bure, ila darasani watoto Ni zaidi ya 100, kelele mtindo mmoja, hawafundishwi wakaelewa, madawati hamna.
Watoto wa wakubwa wanasoma nje, wakirudi ndio wanaoajiriwa, ndio mabosi na ndio watawala
wewe unafanyaje kuisaidia serikali kupunguza hii idadi ya wanafunzi wengi ili wakubwa wasisomeshe nje..huji kuna shule haa hapa mjini zina mchepuo zaidi hata ya nje...halafu lazima ujifunze hamnaga usawa toka kipindi cha yesu..sasa we kaa hapo lia lia badala ya kupambana uone kama mwanao hajabaki kujipanga andamana wakati watoto wa wenzio wanazidi enda ulaya
 
Back
Top Bottom