Kwanini TBC haituhabarishi kesi ya Mbowe na wenzake?

Kwanini TBC haituhabarishi kesi ya Mbowe na wenzake?

Wadau wote tunajua TBC ni televisheni ya serikali Watanzania wote kodi zao pamoja na kodi za mbowe na wenzake zinatumiwa na TBC.

TBC imekuwa inatangaza kesi mbalimbali lakini toka mahakama ya uhujumu uchumi ianze kusikiliza kesi ya Mh. Mbowe na wenzake hakuna hata siku TBC imeripoti juu ya mwenendo wa kesi hiyo wakati ni haki ya wananchi kuhabarishwa na chombo wanachokichangia kodi wananchi.

Naipongeza ITV kwa kutuhabarisha watanzania mpaka tumejua kuwa Mh. Mbowe na wenzake wananyimwa chakula hakika ni ukatili na unyama uliopitiliza.

Wenye mamlaka kumbukeni dunia ni mapito mbinguni kila mtu atajitetea kivyake hakuna kusema ulitumwa au uliagizwa.

Gen. Sabaya licha ya kusema aliagizwa na wakubwa miaka 30 anaitumikia pekee yake.
Hii ni tv ya CCM
 
Tbc watangazaji wanakunywa chai na karanga huku wanatusomea habari hapana kwa kweli
 
Hata wasipoonyesha chochote, zaidi ya wazee wa ccm kuna mtu mwenye akili timamu anatazama TBC hii??
 
Kwa kweli ITV ina deserve kuwa Super Brand East Africa. Tena nimefurahi zaidi leo imeingizwa ndani ya King'amuzi cha DStv. Wametoa summary nzuri sana leo.
Hata wangeripoti wangechagua upande
 
Wadau wote tunajua TBC ni televisheni ya serikali Watanzania wote kodi zao pamoja na kodi za Mbowe na wenzake zinatumiwa na TBC.

TBC imekuwa inatangaza kesi mbalimbali lakini toka mahakama ya uhujumu uchumi ianze kusikiliza kesi ya Mh. Mbowe na wenzake hakuna hata siku TBC imeripoti juu ya mwenendo wa kesi hiyo wakati ni haki ya wananchi kuhabarishwa na chombo wanachokichangia kodi wananchi.

Naipongeza ITV kwa kutuhabarisha watanzania mpaka tumejua kuwa Mh. Mbowe na wenzake wananyimwa chakula hakika ni ukatili na unyama uliopitiliza.

Wenye mamlaka kumbueni dunia ni mapito mbinguni kila mtu atajitetea kivyake hakuna kusema ulitumwa au uliagizwa.

Gen. Sabaya licha ya kusema aliagizwa na wakubwa miaka 30 anaitumikia pekee yake.
Usikonde. TBC ni CCM.
 
Wadau wote tunajua TBC ni televisheni ya serikali Watanzania wote kodi zao pamoja na kodi za Mbowe na wenzake zinatumiwa na TBC.

TBC imekuwa inatangaza kesi mbalimbali lakini toka mahakama ya uhujumu uchumi ianze kusikiliza kesi ya Mh. Mbowe na wenzake hakuna hata siku TBC imeripoti juu ya mwenendo wa kesi hiyo wakati ni haki ya wananchi kuhabarishwa na chombo wanachokichangia kodi wananchi.

Naipongeza ITV kwa kutuhabarisha watanzania mpaka tumejua kuwa Mh. Mbowe na wenzake wananyimwa chakula hakika ni ukatili na unyama uliopitiliza.

Wenye mamlaka kumbueni dunia ni mapito mbinguni kila mtu atajitetea kivyake hakuna kusema ulitumwa au uliagizwa.

Gen. Sabaya licha ya kusema aliagizwa na wakubwa miaka 30 anaitumikia pekee yake.
Watakuhabarisha akifungwa na wataweka kipindi maalum na magazeti ya serikali yatatoa matoleo maalum.
 
[emoji871]Sasa ikionyeshwa katika vituo vyote vya luninga hiyo saa mbili usiku.

[emoji871]Watazamaji tutajigawa namna gani?
 
Bado hujajua tu kuwa TBC ni kikaragosi na mshirika mkuu wa uovu wote wa dola dhidi ya umma wa Watanzania?

Uovu unapofanyika hushirikisha tasnia mbalimbali. Kwa upande wa vyombo vya habari, serikali inapotaka kufanya uovu, huitumia TBC kama agent wake wa propaganda. Hiyo ndiyo sababu ya watu wengi kutopoteza muda wao kusikiliza TBC.

TBC, hata unapotune kutafuta idhaa za habari, ikiingia yenyewe, halafu ukakosa kutambua kuwa ni TBC, ukaendelea kusikiliza, halafu ukasikia kuwa, unaendelea kusikiliza TBC, mtu unajilaani kwa huo mkosi ulioupata!
 
Back
Top Bottom