Hata aliyepita pamoja na sifa zake zote za ubabe na uchapakazi wake lakini aliogopa.yaani yeye ndie mwenyewekiti, kisha huyo huyo anaogopa kuenguliwa[emoji205]
yaani yeye ndie anateu na ndie mwenye mamlaka na assets na liabilities za chama, ndie aliebeba matumaini ya viongozi wa chama, wanachama na wanainchi wote wa Tanzania halafu tena awe na hofu [emoji851]
hiyo itakua ni akili za nyumbu, kenge, panyarodi au matope [emoji205]
Mbona alitumika na mzee mamvi mwaka 2015?Nchimbi siyo wa kutumika hivyo, tunamwamini sana sana
😀 itakua wewe ndie mwoga ulieogopa....Hata aliyepita pamoja na sifa zake zote za ubabe na uchapakazi wake lakini aliogopa.
Alianza kuwaogopa wana CCM wenzake na kisha akawafanyia figisu wapinzani nje ya CCM.
Siasa hazitabiliki
Nadhani muda umefika sasa mkaweke kwenye katiba kipengele cha kumlinda rais anayemaliza term ya kwanza ili kuepusha sintofahamu za aina hiyo.Wamesalia kuongea kwenye vijiwe.
Na Kwa taarifa Yao tuu kura za kumpitisha tutasoma finger print ya kil mmja tutajua nani alikampinga na nani alimlikubali.
Maana hata wapinge wote ambao haiwezekani lazima tumtangaze mshindi then baada ya uchaguzi Mkuu tutaanza kibano mmja Baada ya mwingine maana hao ni wasaliti.
Kwa wanaomwelewa mamvi ni mchapakazi mwenye mipango thabiti katika maendeleo asiyependa mizaha Kwa tabia za wivu kisiasa jamaa zake wakamfitini Kwa madhalilisho yalishindwa hata kupelekwa mahakamani au takukuruMbona alitumika na mzee mamvi mwaka 2015?
Mambo ya aina hiyo yalifanyika wakati wa mfumo chama kimoja.😀 itakua wewe ndie mwoga ulieogopa....
ndume yenye uhakika haimchungulii mkewe...
what man can do, a woman can do better,
kama ulikua hujaona ndio hii ndio hii sasa kwa hyu mumama, hawez kua na hofu....
ata kwa familia yako if you take full control and authority over it, huwez kuwa na hofu na mke wako, watoto wako, ndugu ,jamaa wala rafiki zako unless ni suruali😎
Hili jambo lina maslahi kwa taifa, hatuwezi kuwa na Rais wa mpito kwa miaka 9. Miaka 9 ni mingi sana kwa uharibifu utakao tokea.. itachukua miaka mingi sana turudi kwa mstari.Mambo ya aina hiyo yalifanyika wakati wa mfumo chama kimoja.
Mtu mmoja aliyeitwa Mwenyekiti alikuwa anamuua kila kitu.
Huo ndiyo wakati ambao wajumbe walikuwa na kauli mbiu yao "Zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti"
Siyo wakati huu.
Kama Katiba inaruhusu wanachama wengine kushindana na rais aliye madarakani wewe ni nani uzuie?
Futa kipengele kinachoruhusu ushindani, hutaona watu wanahangaika na form.
Hili jambo lina maslahi kwa taifa, hatuwezi kuwa na Rais wa mpito kwa miaka 9. Miaka 9 ni mingi sana kwa uharibifu utakao tokea.. itachukua miaka mingi sana turudi kwa mstari.
Ni vyema katiba ibadirishwe pale inapo tokea Rais anatangulia mbele za haki basi uchaguzi wa Rais ufanyike ndani ya miaka 2.
Na Mwenyekiti wa Makundi hayo ni nani? Hizi nazo ni pumba tu. Hivi wewe unafahamu nguvu aliyonayo Mwenyekiti wa CCM? Unaweza kucheza na Rais wa Tanzania kwa vile na Mhimili wa Mahakama upo unaweza kukusaidia lakini siyo Mwenyekiti wa CCM.Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Ccm wote wanenguliwaZa chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Sukuma gang wapo kaziniHuyo bibi anajua akiweka fomu zaidi ya Moja amepinduliwa.
Hata tukiishi bila ya uongozi ni bora kuliko wa ccmTimu msoga imecharuka
Rostam Azizi yupo upande wa mama Abdul
Dg wa TISS karudishwa kunusuru hali.
Kinana atapigwa chini mwezi wa 2/3
Mpango anastaafu 2025
Ni mengi aisee
Alafu chama hikihiki kinajisifu kuwa ndiyo baba wa democrasia nchini.Tulijifunza kutoka Kwa Mwendazake aliyechapisha fomu 1 akiogopa kuenguliwa [emoji91][emoji91]
Fomu ya Urais wa 2025 itakuwa 1 na jina la Samia tuu.
Wenye kelele hata sio CCM bali wavimba macho wenye kutaka kuiamulia CCM viongozi wake.Ajabu.Kama unataka utamwomba akutolee photocopy. Na photocopy haikubaliki