Kwanini TFF imeruhusu Simba kusajili makocha vihiyo?

Kwanini TFF imeruhusu Simba kusajili makocha vihiyo?

kocha kihiyo wa Simba amekuwemo kwenye makocha 10 bora Afrika wakati kocha mwenye vyeti nafasi yake hata haijulikani
 
kocha kihiyo wa Simba amekuwemo kwenye makocha 10 bora Afrika wakati kocha mwenye vyeti nafasi yake hata haijulikani
Mshahara anaokipwa Gomez na wachezaji aliokuwanao Gomez akina Chama na miquissone, Bocco, Mugalu, nk ukimpa Kibadeni au Julio Simba ingechukuwa kombe la African champions
 
Jibu swali, Gomez ndiye kocha mkuu? Mzungu kihiyo jina kubwa kumbe mention town. Mwamed hataki hasara za kijinga
1.Gomez Ni kocha Mkuu haswaa.
2.mechi za ligi atasimamia Gomez km kocha mkuu
3.Caf mrundi atasimamia km kocha Mkuu kivuli km ulikuwa Hujui.

Turudi kwenye ujinga wako kwamba Gomez Ni kihivyo. Ndiyo nikasema km Hujui kitu usibwabwaje au kuropoka hovyo.

IKO HIVI:
GOMEZ ana leseni ya UEFA A ambayo ilikuwa sawa na Leseni ya CAF A mpaka hapo Gomez alikuwa hana tatizo.

Kilichotokea:
UEFA wakaapugredi leseni zao kutoka UEFA A hadi UEFA A Pro, ndio hapo leseni ya Gomez ikawa chini baada ya CAF nao kusema ili uweze kuwa kocha mkuu ktk mashindano yanayosimamiwa na CAF ikiwa we ni kocha kutoka UEFA lazima uwe na leseni ya UEFA pro. Na hapo hapo CAF nao wakaapugred kutoka CAF A hadi CAF A pro kufanana na UEFA.

Hivyo makocha wengi wa ulaya ikabidi wasome na Gomez nae anasoma.

Sasa ukihiyo wa Gomez ni upi.

Wewe unaandika kishabiki wakat mm sikuwa huko.

Sijui km umeelewa!
 
Jibu swali, Gomez ndiye kocha mkuu? Mzungu kihiyo jina kubwa kumbe mention town. Mwamed hataki hasara za kijinga
Kumbuka ktk makocha kumi bora Afrika KWA ripoti ya sasahivi Gomez yuko namba 4.

Huyo Nabi wa utopolo hayupo . Muwe mnaongea fact, siyo Ujinga ujinga.
 
Kumbuka ktk makocha kumi bora Afrika KWA ripoti ya sasahivi Gomez yuko namba 4.

Huyo Nabi wa utopolo hayupo . Muwe mnaongea fact, siyo Ujinga ujinga.
Naona mmekuwa wazee wa kumbukumbu, nendeni shule hatutaki umisheni town.
 
1.Gomez Ni kocha Mkuu haswaa.
2.mechi za ligi atasimamia Gomez km kocha mkuu
3.Caf mrundi atasimamia km kocha Mkuu kivuli km ulikuwa Hujui.

Turudi kwenye ujinga wako kwamba Gomez Ni kihivyo. Ndiyo nikasema km Hujui kitu usibwabwaje au kuropoka hovyo.

IKO HIVI:
GOMEZ ana leseni ya UEFA A ambayo ilikuwa sawa na Leseni ya CAF A mpaka hapo Gomez alikuwa hana tatizo.

Kilichotokea:
UEFA wakaapugredi leseni zao kutoka UEFA A hadi UEFA A Pro, ndio hapo leseni ya Gomez ikawa chini baada ya CAF nao kusema ili uweze kuwa kocha mkuu ktk mashindano yanayosimamiwa na CAF ikiwa we ni kocha kutoka UEFA lazima uwe na leseni ya UEFA pro. Na hapo hapo CAF nao wakaapugred kutoka CAF A hadi CAF A pro kufanana na UEFA.

Hivyo makocha wengi wa ulaya ikabidi wasome na Gomez nae anasoma.

Sasa ukihiyo wa Gomez ni upi.

Wewe unaandika kishabiki wakat mm sikuwa huko.

Sijui km umeelewa!
Bado umejikanyaga tu, hujajibu maswali.

Maswali unayopaswa kuyajibu ni pamoja na haya hapa.

1. Wakati Simba ina m shortlist Gomezi mwenye leseni ya uefa A kuwa kocha mkuu wa simba hakukuwa na applicants wenye uefa A pro au zaidi? kwanini walichagua mwenye minimum?

2. Viongozi wa Simba, TFF na CAF hawakuwa na fununu kuhusu uefa ku upgrade leseni zao? TFF na Simba walihamu lini kama uefa inapanga kubadilisha leseni zao?

3. Gomez na Simba wameumbuka au hajaumbuka? kama hawajaumbuka kwa hili toa maelezo ya kwanini hawajaumbuka.

4. Mshahara wa kocha mwenye uefa A ni mdogo kuliko wa mwenye uefa A pro? Kama jibu ni NDIYO, ni ushahidi kuwa mo ameangalia faida na hasara kwenye kuendesha timu ya simba?
 
Tangu Haji awatupe mkono akili zenu ziliwatupa mkono pia

Kwa akili zako za kitopolo Haji ndiye aliyekuwa anaipa Simba matokeo?
Haya sasa mnae huko utopolo, game mbili mmepigwa na bado mtaendelea kupigwa!
Kwa akili zako za hovyo unadhani kwamba Haji ndiye simba, mburula kabisa wewe!
 
Mshahara anaokipwa Gomez na wachezaji aliokuwanao Gomez akina Chama na miquissone, Bocco, Mugalu, nk ukimpa Kibadeni au Julio Simba ingechukuwa kombe la African champions
Mshahara wa simba unakuhusu nini utopolo, mada si inahusu lawama kwa tff
 
Kwa akili zako za kitopolo Haji ndiye aliyekuwa anaipa Simba matokeo?
Haya sasa mnae huko utopolo, game mbili mmepigwa na bado mtaendelea kupigwa!
Kwa akili zako za hovyo unadhani kwamba Haji ndiye simba, mburula kabisa wewe!
ulikiangalia ulichoandika hapa inaonesha kuondoka kwa Haji kumekuachia athali ya sonona. Sio kweli kwamba Yanga haitafanya vizuri kwa kuangalia mechi 2 tu zilizopita. Zanaco na Rivers sio timu ndogo kiasi hicho unachompimia Manara na yanga ambayo bado wachezaji hawajakaa vizuri wakati wanacheza na hizo timu.
 
Unapoamua kufuata moyo wako,hakikisha unaenda na ubongo wako! Kuna kipindi madereva wa umma wote walitakiwa wawe na chet toka NIT japo walishakuwa madereva wa muda mrefu na uzoef wanao,ndio kilichomtokea Gomez ni kubadilika kwa kanuni tu sio kwamba hana sifa! Huyo Nab alikuwepo kigoma wakati Gomez akiongoza kipondo,Narudia " unapoamua kufuata moyo wako hakikisha unakwenda na ubongo wako"
Huo mfano hauendani na issue hii. Gomez kasimamishwa kuwa kocha mkuu, lakini madereva hawakusimamishwa kuendesha magari yao, bali walipewa muda wa kuboresha leseni zao. Hii inaonyesha muda wa gomez kuboresha cheti ulitolewa lakini gomez, simba na tff walidhani ni utani tu kwakuwa gomez anashinda mechi kwa fluke walidhani haitamkumba.
 
Naona mmekuwa wazee wa kumbukumbu, nendeni shule hatutaki umisheni town.
Wachezaji simba walikuwa wanalishwa matangopori na gomez. ndiyo maana wachezaji wa simba hawafanyi vizuri kwenye timu ya taifa ingawa wanachaguliwa wengi sana kujiunga na timu ya taifa. janjajanja
 
Back
Top Bottom