Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,381
Ha ha ha haaaa... Yaani kwa jinsi nilivyo Mimi na roho yangu, ningekua ndio Mbwana halafu nikagundua TFF wanachukulia Kama ligi ya Kombe la jezi, wallah ningekuja Kimya Kimya na kujoin familia YANGU tu... Sitaki Nini wala Nini...