naija-lojja
Senior Member
- May 13, 2017
- 163
- 64
- Thread starter
-
- #21
Hahahahahaaa na badoMzee Magu hataki siasa
BloodedTumewaza comment sawa, umeniwai kucomment tuu...
Sio kidogo mkuu ni sana tu..hebu gombana na wife/mume na mapenzi yakatoweka uone kama utakumbuka kuchana nyweleKidogo umeniconvice mkuu
Hahhaa weka utiwe piaTunapendana ndo mana unajaza unajazwa pia
Aya bhanaWacha tujimwae mwae maisha yenyewe mafupi
Mapenzi na mahusionoKwani ww huu uzi umeuweka jukwaa gani?!
😀😀😀Sio kidogo mkuu ni sana tu..hebu gombana na wife/mume na mapenzi yakatoweka uone kama utakumbuka kuchana nywele
Kumbe ww mwnyw unaenda mapnzi na mahusianoMapenzi na mahusiono
Poleni sana na swaumu wana JF,
Ila katika pitapita yangu humu JF huwa naona thread tofauti tofauti lakini nimebaini kwamba zile za mapenzi na mahusiono ndo unakuta reply kibao.
Hivi ni kweli kwamba jamii zetu waafrika ndo ziko hivi au ata wenzetu Magharibi?
Tuanze na wewe kwa nini umeleta uzi unaoelekeza kujadili jukwaa la MMU, kwani majukwaa mengine hakuna?Poleni sana na swaumu wana JF,
Ila katika pitapita yangu humu JF huwa naona thread tofauti tofauti lakini nimebaini kwamba zile za mapenzi na mahusiono ndo unakuta reply kibao.
Hivi ni kweli kwamba jamii zetu waafrika ndo ziko hivi au ata wenzetu Magharibi?
umeua bossTuanze na wewe kwa nini umeleta uzi unaoelekeza kujadili jukwaa la MMU, kwani majukwaa mengine hakuna?
Ninamaana huwezi reply kitu ambacho huna weledi nacho....au ku reply NGOJA WAJE...ndy INATOSHA KUCHANGIA MADA?haipendezi kuchangia UPUUZI kwny jambo ambalo huna WELEDI nalo...na haimaanishi kwamba mada zingine watu hatuchangiii...Unataka kumaanisha kwamba mapenzi ndo kitu pekee kinachojulikana na kila mtu??
Waafrika maisha yao niPoleni sana na swaumu wana JF,
Ila katika pitapita yangu humu JF huwa naona thread tofauti tofauti lakini nimebaini kwamba zile za mapenzi na mahusiono ndo unakuta reply kibao.
Hivi ni kweli kwamba jamii zetu waafrika ndo ziko hivi au ata wenzetu Magharibi?
According to ur perception, ila kwauzoefu mapenzi ndo pasua kichwa zaidSiasa ni pasua kichwa. Bora mapenzi yana raha na karaha!
HahahahahhaaMapenzi ni kila kitu, wacha kabisa, kamuulize SAMSONI
Hahahaha dah nlikua zijacheka tangu asubhSio kidogo mkuu ni sana tu..hebu gombana na wife/mume na mapenzi yakatoweka uone kama utakumbuka kuchana nywele
UmeonaeeeKWANIHATA TRUMP SI ALISEMA WAAFRIKA SISI TUNACHOJUA NI MAPENZI NA NINI SIJUI VILE.. THAT PUNK