Kwanini thread za mapenzi na mahusiono wanazichangamkia sana wana JF?

Kwanini thread za mapenzi na mahusiono wanazichangamkia sana wana JF?

Poleni sana na swaumu wana JF,

Ila katika pitapita yangu humu JF huwa naona thread tofauti tofauti lakini nimebaini kwamba zile za mapenzi na mahusiono ndo unakuta reply kibao.

Hivi ni kweli kwamba jamii zetu waafrika ndo ziko hivi au ata wenzetu Magharibi?

Ukikigawa vizuri Kichwa cha Mtanzania utagundua kuwa 1% ni za kuwaza Maendeleo, 3% ni za Kudhulumu, 4% ni za kupenda Ushirikina na Majungu na 90% zilizobaki ni za kupenda Ngono na Ungonokaji wake uliotukuka Mkuu.
 
KWANIHATA TRUMP SI ALISEMA WAAFRIKA SISI TUNACHOJUA NI MAPENZI NA NINI SIJUI VILE.. THAT PUNK
 
Unajua kazi zingine hatujazipitia, lakini mapenzi na mahusiano kila mtu anayapitia kila siku. Sasa unataka nijibu maswala ya Udaktari au utabiri ambao sina.?
Ndiyo maana kuna comments nyingi kwa mambo hizo
 
Poleni sana na swaumu wana JF,

Ila katika pitapita yangu humu JF huwa naona thread tofauti tofauti lakini nimebaini kwamba zile za mapenzi na mahusiono ndo unakuta reply kibao.

Hivi ni kweli kwamba jamii zetu waafrika ndo ziko hivi au ata wenzetu Magharibi?
Tuanze na wewe kwa nini umeleta uzi unaoelekeza kujadili jukwaa la MMU, kwani majukwaa mengine hakuna?
 
Unataka kumaanisha kwamba mapenzi ndo kitu pekee kinachojulikana na kila mtu??
Ninamaana huwezi reply kitu ambacho huna weledi nacho....au ku reply NGOJA WAJE...ndy INATOSHA KUCHANGIA MADA?haipendezi kuchangia UPUUZI kwny jambo ambalo huna WELEDI nalo...na haimaanishi kwamba mada zingine watu hatuchangiii...
 
Poleni sana na swaumu wana JF,

Ila katika pitapita yangu humu JF huwa naona thread tofauti tofauti lakini nimebaini kwamba zile za mapenzi na mahusiono ndo unakuta reply kibao.

Hivi ni kweli kwamba jamii zetu waafrika ndo ziko hivi au ata wenzetu Magharibi?
Waafrika maisha yao ni
1. Ngono
2. Pombe
3. Ngoma
 
Back
Top Bottom