Kwanini Tigo haipo kwenye orodha ya DSE

Kwanini Tigo haipo kwenye orodha ya DSE

Mtuache

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
256
Reaction score
658
Habari za Wakati huu wana na ndugu wa Jamii Forums

Nimekuja kwenu tena nikiwa nahitaji kujua jambo hili

8-12-2016 kampuni ya Tigo Tanzania ilitangaza rasmi kuwasilisha Muhtasari na maombi ya awali CMSA pamoja na DSE ili hisa zake ziweze kuorodheshwa na watu waanze kununua na kuuza

Cha kushangaza mpaka leo hii, Tigo Tanzania si miongoni mwa makampuni yaliyo Kwenye orodha ya DSE

Naomba kujua ni kwanini. Je bado taratibu hazijakamilika? Wameamua kuachana na huo mpango? Au sababu hasa ni nini

Mwenye kujua anijuze tafadhali

Nawasilisha,
 
Back
Top Bottom