Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Unazuia timu inayoanza kupanga masambulizi kuanzia nyuma. Mfano Man City na ChelseaKwa siku za karibuni nimeshuhudia vilabu vingi barani Ulaya vikitumia mfumo wa 3-4-3. Makocha wengine wameuboresha na kuwa 3-5-2. Mfumo huu wa 3-4-3 yaani kuwa na Mabeki watatu, Viungo wanne na Washambuliaji watatu. Je mfumo huu unambeba yupi kati ya anayeshambulia au anayejilinda? Ni kwanini mfumo huu kwasasa unapendwa na makocha wengi?
Antonio conte.
Hivi morinyo anatumia mfumo upi na man utd yake?
Kuna Genius mmoja kauonesha ulimwengu kuwa huu mfumo bado unafaa tena kwa ligi ngumu na yenye ushindani kama ya Uingereza
Baada ya Kuutumia na Kufanikiwa wengi wamemuiga na umeonekana kuwasaidia kwa kiasi fulani.....
Nadhani anafahamika...
Van gaal aliutumia mfumo wa 3 4 3 mechi tatu tu za mwanzo baada ya hapo akaukimbia...au kama una ushahidi wa Alivyofanikiwa kuutumia huu mfumo unaweza kuutoa...
Ukielezea mfano wa mechi moja uliomsaidia alipoutumia
Sio martinez ..ni RodgersMartinez aliutumia akiwa Swansea mpaka wakaitwa Barcelona ya England kwa soka safi walilokua wanacheza.
Ndipo alipoivuruga defence ya Liver !Sio martinez ..ni Rodgers
Four Four Two kama Mwanamke basi Hawala. Hawala hatongozwi. Hawala hana talaka.Binafsi naupenda Sana 4-4-2 naona Kama una balance yakutosha
Baba la babaAntonio conte.
Conte.Kuna Genius mmoja kauonesha ulimwengu kuwa huu mfumo bado unafaa tena kwa ligi ngumu na yenye ushindani kama ya Uingereza
Baada ya Kuutumia na Kufanikiwa wengi wamemuiga na umeonekana kuwasaidia kwa kiasi fulani.....
Nadhani anafahamika...