Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwa siku za karibuni nimeshuhudia vilabu vingi barani Ulaya vikitumia mfumo wa 3-4-3. Makocha wengine wameuboresha na kuwa 3-5-2. Mfumo huu wa 3-4-3 yaani kuwa na Mabeki watatu, Viungo wanne na Washambuliaji watatu. Je mfumo huu unambeba yupi kati ya anayeshambulia au anayejilinda? Ni kwanini mfumo huu kwasasa unapendwa na makocha wengi?