3-4-3 inawabana wapinzani hasa mnapokuwa mnabuild up attack. Hii huwa inageuka kuwa 5-3-2 mnaponza kushambuliwa. Wewe angalia Chelsea. Wakianza kushambuliwa tu, akina Moses/Zapacosta na Alonso fasta wanarudi kuweka ukuta wa back 5. Fabregas au Hazard nae hurudi kati fasta. Ndo walichowafanyia Man Utd juzi kati hapa
View attachment 627180