Kwanini timu nyingi Ulaya zinatumia mfumo wa 3-4-3

 
Kuna Genius mmoja kauonesha ulimwengu kuwa huu mfumo bado unafaa tena kwa ligi ngumu na yenye ushindani kama ya Uingereza
Baada ya Kuutumia na Kufanikiwa wengi wamemuiga na umeonekana kuwasaidia kwa kiasi fulani.....

Nadhani anafahamika...
huyo jiniaz ana hali gani kwasasa hapo darajani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…