Kwanini timu nyingi Ulaya zinatumia mfumo wa 3-4-3

Kwanini timu nyingi Ulaya zinatumia mfumo wa 3-4-3

3-4-3 inawabana wapinzani hasa mnapokuwa mnabuild up attack. Hii huwa inageuka kuwa 5-3-2 mnaponza kushambuliwa. Wewe angalia Chelsea. Wakianza kushambuliwa tu, akina Moses/Zapacosta na Alonso fasta wanarudi kuweka ukuta wa back 5. Fabregas au Hazard nae hurudi kati fasta. Ndo walichowafanyia Man Utd juzi kati hapa
View attachment 627180
tapatalk_1510469266140.jpeg
 
Kuna Genius mmoja kauonesha ulimwengu kuwa huu mfumo bado unafaa tena kwa ligi ngumu na yenye ushindani kama ya Uingereza
Baada ya Kuutumia na Kufanikiwa wengi wamemuiga na umeonekana kuwasaidia kwa kiasi fulani.....

Nadhani anafahamika...
huyo jiniaz ana hali gani kwasasa hapo darajani?
 
Back
Top Bottom