Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,181
1-9Hivi morinyo anatumia mfumo upi na man utd yake?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1-9Hivi morinyo anatumia mfumo upi na man utd yake?
Hilo ni Yutong !Nipeni maelezo kuhusu 5 4 1
Siku anacheza na Liverpool alikuja na na 6-3-1 akaambulia draw. Mechi iliyofuata akawa direct, akachapwa. Siku anacheza na Chelsea akaedit kidogo akaja na 5-5-0. 😀Hivi morinyo anatumia mfumo upi na man utd yake?
Kuna nyakati pia na yeye hutumia 3-4-3Pep gardiola akiona mifumo ya namna hyo ndio anafurahi sana coz anaamini atapata point kutoka kwa mpinzani wake Mara nyingi pep hutumia mfumo 4-1-4-1 kama akiwa anacheza na timu ngumu kama Chelsea na man u
Last season Everton waliwamatch Chelsea kwa system hii wakaambulia kipigo cha bao 4 bila.huwezi kutumia mfumo huu ukiwa na mabeki wa kati tia maji tia maji.
8-1-1Hivi morinyo anatumia mfumo upi na man utd yake?
Msimuu huu anapigwa tu mfumo bora kwa sasa ni 4-1-4-1 wa pep gardiola.Antonie Conte alibadili baada ya vipigo msimu uliopita,aliutumia mpaka kuchukua ubingwa.Ndio makocha wengine wakaamua kuanza kuutumia huo mfumo.Ni mfumo mzuri ila wing zako mbili za kushoto na kulia inabidi wawe na mapafu kweli.Maana inabidi wakabe huku wakishambulia pia.Angalia kwa chelsea jinsi Moses na Alonzo wanavyocheza.
Haswa pale anaposhambuliaKuna nyakati pia na yeye hutumia 3-4-3
Aaaaahhhh wapi wwMsimuu huu anapigwa tu mfumo bora kwa sasa ni 4-1-4-1 wa pep gardiola.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]8-1-1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku anacheza na Liverpool alikuja na na 6-3-1 akaambulia draw. Mechi iliyofuata akawa direct, akachapwa. Siku anacheza na Chelsea akaedit kidogo akaja na 5-5-0. 😀