Kwanini timu ya simba inaongozwa ki propaganda saana
Kuna mda najiuliza hivi hii ni timu ya mpira au ni kikundi cha siasa
Hii timu imechaguwa saana maneno kuliko vitendo
Watu wamejaa propaganda kuanzia kwenye viongozi mpaka kwa mashabiki
Ata kwenye hili swala la kufungiwa kwa manara watu wanatakiwa waangalie kwa jicho la akili pale kuna uwezekano propaganda fc walichochea hili swala ili kumkomoa manara zaidi
Kwa ufupi timu ya simba ni kikundi cha siasa ambacho kimejingiza kwenye mpira
Na kwa bahati nzuri wana wa kwao mbele ambaye anawasikiliza zaidi