getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Habari za jumapili wanajamvi.
Kama swali linavyo jieleza. Najua kuna taasisi zinazosimamia mchezo wa mpira wa miguu bara na visiwani, !
Je kwanini hawana wazo la kuzifanya timu za mpira wa miguu za zanzibar na za huku bara kukutana katika kombe la Taifa (Azam Cup) ambalo linazikutanisha timu kutoka mikoa yote ya Nchi yetu na Bingwa anashiriki katika mashindani ya kimataifa.
Kombe la shirikisho ambalo kwa msimu huu Tanzania iliwakirishwa na Mtibwa.
Tukiondoa siasa, na faida binafsi za viongozi nadhani mashindani hayo yangetoa fursa nzuri kwa wachezaji wa zanzibar kuonekana na kupata uzoefu bara!
Na nafasi ya kuonekana katika mashindano makubwa zaidi ya kimataifa.
Bila kusahau kuwa mashindano haya yangesaidia zaidi kuboresha. Uzalendo wetu kama Watanzania. Kombe la Mapinduzi linaweza kuwa na Mchango wa Uzalendo lakini Kombel la Taifa/ Azam Cup ingeweza kuwa na mchango mkubwa zaidi.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama swali linavyo jieleza. Najua kuna taasisi zinazosimamia mchezo wa mpira wa miguu bara na visiwani, !
Je kwanini hawana wazo la kuzifanya timu za mpira wa miguu za zanzibar na za huku bara kukutana katika kombe la Taifa (Azam Cup) ambalo linazikutanisha timu kutoka mikoa yote ya Nchi yetu na Bingwa anashiriki katika mashindani ya kimataifa.
Kombe la shirikisho ambalo kwa msimu huu Tanzania iliwakirishwa na Mtibwa.
Tukiondoa siasa, na faida binafsi za viongozi nadhani mashindani hayo yangetoa fursa nzuri kwa wachezaji wa zanzibar kuonekana na kupata uzoefu bara!
Na nafasi ya kuonekana katika mashindano makubwa zaidi ya kimataifa.
Bila kusahau kuwa mashindano haya yangesaidia zaidi kuboresha. Uzalendo wetu kama Watanzania. Kombe la Mapinduzi linaweza kuwa na Mchango wa Uzalendo lakini Kombel la Taifa/ Azam Cup ingeweza kuwa na mchango mkubwa zaidi.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app