Kwanini timu za zanzibar hazishiriki Kombe la Azam.?

Hahahah huyo Refa kavu sana. Ila ukiangalia kilochomkuta Mtibwa utasema Refa yupo sahihi.
 

Mkuu hujui kuwa Zanzibar ni nchi na ina utaratibu wake wa kupata timu za kushiriki CAF?
 
Mkuu tukiacha unafiki Zanzibar sio Nchi ni sehemu ya Nchi ya Tanzania ambapo Tanzania kama Nchi inawakilishwa na TFF.
Hizo mbwembwe nyingine za kisiasa zisizo na mbele wala nyuma ndiyo zinazowakwamisha vijana wetu leo na kesho. Ifike mahali watu wawe na akili na waache unafiki. Na ujuha.
Mkuu hujui kuwa Zanzibar ni nchi na ina utaratibu wake wa kupata timu za kushiriki CAF?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…