kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Sababu zipi timu zetu za Afrika zinakuwa nyanya (5-0, 5-0, 2-0, n.k) ugenini na kuwa imara (3-0, 2-0, 1-0, nk) nyumbani tofauti na Ulaya ambako timu inapindua matokeo hata ugenini. Hii ni dalili tosha kuwa timu zetu zinafanya hujuma (uchawi, kuwekewa madawa kwenye vyakula/maji, kupuliziwa dawa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, n.k) timu ngeni zinapocheza nyumbani ili kuzidhoofisha ngeni.
CAF lazima zifanye uchunguzi wa kina kuhusu jambo hili. Hata Azam na Yanga kukataa kuingia vyumba vya kubadilishia nguo uwanjani ni sehemu ya hofu hiyo. ova
CAF lazima zifanye uchunguzi wa kina kuhusu jambo hili. Hata Azam na Yanga kukataa kuingia vyumba vya kubadilishia nguo uwanjani ni sehemu ya hofu hiyo. ova