Kwanini Toyota Carina TI ina BEI kuliko IST??

Kwanini Toyota Carina TI ina BEI kuliko IST??

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,174
Reaction score
16,794
Nimeingia kwenye mitandao kuchungulia bei ya Carina TI huko Japan nilichokutana nacho nimecheka saaana.

Yaani Carina TI ina bei kubwa kuliko hata IST old?? Why?

Source Befoward View attachment 2719628
Screenshot_20230817-092318_Chrome.jpg
 
Maana kwa kuangalia ivo BMW 3 series za 2005-2008 zipo bei ndogo kuliko IST.
 
Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
 
Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Tuliwahi kuwa nayo 2003 namba AAG hadi leo ipo na ishauzwa kwa watu 7 na ajali 4
 
Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MAFUTA YA ALIZETI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya haya ya wanyiramba??
 
Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Asante bro. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom