Kwanini Toyota Carina TI ina BEI kuliko IST??

Kwanini Toyota Carina TI ina BEI kuliko IST??

Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
😂😂😂 Tawireeee mkuuu, mafta ya kula!!! Hii chuma mnaeza peana vizazi vitatu
 
Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Halafu mnakuja sema magari ya Ujerumani sijui mabovu kumbe watu mnafanya vituko.. We uweke mafuta ya alizeti kwenye gari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IST inapendwa sana aise..
Kuna gari kama run x nzuri kweli na ina design nzuri mafuta inatumia vzur sana ila Ist ni inapendwa balaa
Inabidi kampeni ya tokomeza IST ianze.. Hatchback nzuri zipo nyingi ila bado limbwata la IST linafanya kazi.
 
Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel

Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...

Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
😁 😁 😁 😁
 
Back
Top Bottom