PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Naijua hii gari kuna jamaa kariakoo anayo G TOURING namba AKuna mnyama anaitwa Corolla Touring mzee ile gari haifi wala kufariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naijua hii gari kuna jamaa kariakoo anayo G TOURING namba AKuna mnyama anaitwa Corolla Touring mzee ile gari haifi wala kufariki
Sidhani kama Toyota wana gari ngumu kama hiiiNaijua hii gari kuna jamaa kariakoo anayo G TOURING namba A
Inabidi kampeni ya tokomeza IST ianze.. Hatchback nzuri zipo nyingi ila bado limbwata la IST linafanya kazi.
😂😂😂 Tawireeee mkuuu, mafta ya kula!!! Hii chuma mnaeza peana vizazi vitatuHiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel
Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Mkuu hizi chuma turbo yake sio sumbufuNina STARLET GT TURBO namba ACR ukiiona ni zaidi ya IST
Gari ngumu sana izo yangu ni ANE ila nilishatoa turbo,nimeshafuta Hadi namba za mafundi!ni mwendo wa ruti tu mafuta kisoda!Nina STARLET GT TURBO namba ACR ukiiona ni zaidi ya IST
Starlet lita moja inaweza kufika kilometer 15Gari ngumu sana izo yangu ni ANE ila nilishatoa turbo,nimeshafuta Hadi namba za mafundi!ni mwendo wa ruti tu mafuta kisoda!
Nimeingia kwenye mitandao kuchungulia bei ya Carina TI huko Japan nilichokutana nacho nimecheka saaana.
Yaani Carina TI ina bei kubwa kuliko hata IST old?? Why?
Source Befoward View attachment 2719628View attachment 2719630
Hebu zitaje hizo Hatchback nasi tuongeze ufahamuInabidi kampeni ya tokomeza IST ianze.. Hatchback nzuri zipo nyingi ila bado limbwata la IST linafanya kazi.
Halafu mnakuja sema magari ya Ujerumani sijui mabovu kumbe watu mnafanya vituko.. We uweke mafuta ya alizeti kwenye gari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel
Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Wabongo noma saaanaHalafu mnakuja sema magari ya Ujerumani sijui mabovu kumbe watu mnafanya vituko.. We uweke mafuta ya alizeti kwenye gari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Carina gariNimeingia kwenye mitandao kuchungulia bei ya Carina TI huko Japan nilichokutana nacho nimecheka saaana.
Yaani Carina TI ina bei kubwa kuliko hata IST old?? Why?
Source Befoward View attachment 2719628View attachment 2719630
Nissan noteHebu zitaje hizo Hatchback nasi tuongeze ufahamu
Inabidi kampeni ya tokomeza IST ianze.. Hatchback nzuri zipo nyingi ila bado limbwata la IST linafanya kazi.
😁 😁 😁 😁Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel
Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA