Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Nimeziweka sema JamiiForums wanazingua, ukiweka media 2 wana display mojaWeka na hizo bei za IS
Tuliwahi kuwa nayo 2003 namba AAG hadi leo ipo na ishauzwa kwa watu 7 na ajali 4Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel
Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MAFUTA YA ALIZETI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel
Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Do 😂!.Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Ushuru wa IST ni milioni 6Na pia weka na ushuru.
Carina ina milioni 7Na pia weka na ushuru.
Asante bro. 🤣🤣🤣Hiyo gari imenilea Kwa miaka zaidi ya mitano 5...
Acha nikupe sifa Kwanza kadhaa ili uone namna gani hiyo gari itazidi kuwa juu dhidi ya IST
1) Engine ni cast iron ya 5A
2) Ni rahisi kufanya tuning Kwa wale watu wa mbio
3) Body yake ni aluminium na steel
4) Gear box yake imetengenezwa Kwa mfumo wa stainless steel
Hii gari kama engine oil imepungua zaidi ya nusu lita unaweza kuongezea MAFUTA YA ALIZETI na ukafika uendako bila shida...
Hii ni gari imara kushinda MV LIEMBA
Ndio mkuu, kule anako tokea waziri wa maokoto...🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MAFUTA YA ALIZETI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya haya ya wanyiramba??
Jana tulikua naye hapa Hong Kong [emoji1125]Ndio mkuu, kule anako tokea waziri wa maokoto...[emoji1787]
Na domo lake lile, hata chapati hakunji yule...🤣Jana tulikua naye hapa Hong Kong [emoji1125]
Uhani huuu[emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji3]Na domo lake lile, hata chapati hakunji yule...[emoji1787]
Mjapan alituliza kichwa sana kwenye hii ndingaTuliwahi kuwa nayo 2003 namba AAG hadi leo ipo na ishauzwa kwa watu 7 na ajali 4
Kuna mnyama anaitwa Corolla Touring mzee ile gari haifi wala kufarikiMjapan alituliza kichwa sana kwenye hii ndinga