Grand ipi?acheni niliwekewa bondi premio old model kutoka ARUSHA TO MONDOLI niliweka wese majengo ya chini lita 5 kufika duka bovu yamekata ikabidi nichungulie chini labda tank limemetoboka.narudi nikaweka lita 5 Mondoli kufika tembo clube imekata..nikaachananayo nikaendelea kutumia kimeo changu grand
Premio new model ama?Premio ndio chuma nachomiliki nilikivuta kwa 17M, japo ndo gari yangu ya kwanza ila kiukweli sijawahi kujuta.
Ndani ipo very sexy hata mke wako akiingia humo ndugu yangu hachomoki, mafuta ya kunusa tu.. pia premio ina hadhi yake hata ukipark sehemu wanakuchukulia seriously tofauti ukiwa na Ist.
Asikwambie mtu mkuu, Premio tamu.
Kwa hiyo ukaona uchukulie mfano wa ist je mwenye land cruiser atasemaje Kuna watu Wana magari yao yamaana tu wametulia Wew unaringia premioPremio ndio chuma nachomiliki nilikivuta kwa 17M, japo ndo gari yangu ya kwanza ila kiukweli sijawahi kujuta.
Ndani ipo very sexy hata mke wako akiingia humo ndugu yangu hachomoki, mafuta ya kunusa tu.. pia premio ina hadhi yake hata ukipark sehemu wanakuchukulia seriously tofauti ukiwa na Ist.
Asikwambie mtu mkuu, Premio tamu.
Kuandika sasa, serikali ya CCM imeua kabisa elimu. Unaweza kukuta huyu naye analalamika amefelishwa law schoolKwaio premio azili mafuta Sana
Ya jamaa yangu ni 1.8L ndio inampa hio rangemkuu mm yangu haijawah kufika apo na ni namba E au umeangalia figure za mitandaoni, mm inatembea 11.5km/l in highway 1500cc kama kuna mtu ana data ambazo ni practical aseme kwa upande wake inatembea km ngp kwa lita
Sijawahi ona mkidiskasi Allion but, ipo vzr mno,
Bonge la gari MwanaSijawahi ona mkidiskasi Allion but, ipo vzr mno,
tofauti ya izo gari ni body tuu vingine vyote vipo sawa sema tu wabongo wanapenda premio kuliko allionNi pacha wake na premio huyo..naye anafaa pia
basi ntaichek plugs japo sizan kama kutakua na utofauti baada ya apo labda kama is another issueYa jamaa yangu ni 1.8L ndio inampa hio range
haha chali embu achana na mwandikoKuandika sasa, serikali ya CCM imeua kabisa elimu. Unaweza kukuta huyu naye analalamika amefelishwa law school
tofauti ya izo gari ni body tuu vingine vyote vipo sawa sema tu wabongo wanapenda premio kuliko allion
Kwa bei ya sasa ni kama lita 17 hivi Dar mpaka moro.Elfu 50 hii hii ya kitanzania au ya Kenya ?
Saa nyingine huwa wanahofia hiyo 1.8L ila kumbe ndiyo ina fuel consumption nzuri.Ya jamaa yangu ni 1.8L ndio inampa hio range
Kuna uendeshaji pia boss. Highway hizi gari za cc 1490 kushuka ukiendesha above 100 inaongeza consumption tofauti na ukiendsha speed 70,80 and belowmkuu mm yangu haijawah kufika apo na ni namba E au umeangalia figure za mitandaoni, mm inatembea 11.5km/l in highway 1500cc kama kuna mtu ana data ambazo ni practical aseme kwa upande wake inatembea km ngp kwa lita
Ndo hayo hayo tu boss. Allion, premio, Raum.Sijawahi ona mkidiskasi Allion but, ipo vzr mno,
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Gari ya 17m unachukuliwa serious na nan bana ww[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
uko sahihi ila kwa nilivoona haitofautiani sana utofauti ni very insignificant ata uamue usivuke 2rpm haizid apo consumption yake labda kama kuna mtu mungine ana actual figure ya consumption ya premio kwa wenye magar ya premio tofauti na theoretical figureKuna uendeshaji pia boss. Highway hizi gari za cc 1490 kushuka ukiendesha above 100 inaongeza consumption tofauti na ukiendsha speed 70,80 and below
Yeah 1.8L bonge la engine yaniSaa nyingine huwa wanahofia hiyo 1.8L ila kumbe ndiyo ina fuel consumption nzuri.
Allion ni successor wa Toyota Carina, sidhani kama wengi wanalifahamu hili. Its a sport version car while premio ni semi luxury car.Sijawahi ona mkidiskasi Allion but, ipo vzr mno,