Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Kuna utofauti wa saloon na sedan??Haswaaaaaa na umbo lake n saloon achan na sedan gari za kidada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna utofauti wa saloon na sedan??Haswaaaaaa na umbo lake n saloon achan na sedan gari za kidada
Hamna tofauti hapo...Kuna utofauti wa saloon na sedan??
Kijana atakua ameshaaianza weekendHamna tofauti hapo...
apa uhakikaLand Cruiser discovery 4
Allion ni successor wa Toyota Carina, sidhani kama wengi wanalifahamu hili. Its a sport version car while premio ni semi luxury car.
Insignificance sidhani kama ni term sahihi, kwa uzito tofauti wa hizi gari ni lazma utofauti uwekouko sahihi ila kwa nilivoona haitofautiani sana utofauti ni very insignificant ata uamue usivuke 2rpm haizid apo consumption yake labda kama kuna mtu mungine ana actual figure ya consumption ya premio kwa wenye magar ya premio tofauti na theoretical figure
BeiPremio toleo gani? Na zinapendwa vipi mbona hazipo nyingi kama Ist, Vitz na Crown au unazungumzia nchi gani!
Yapo matatu ...Hivi kuna matoleo mangapi ya Premio???
Je toleo gani ni zuri kuliko mengine???
Mimi nilikuwa mpenzi wa premio ila nilikuja kuipata allion new model ambaye ni kama ile premio new model , allion ni superAllion ni successor wa Toyota Carina, sidhani kama wengi wanalifahamu hili. Its a sport version car while premio ni semi luxury car.
Allion 18 bila shaka, ile gari iko Super sana.Mimi nilikuwa mpenzi wa premio ila nilikuja kuipata allion new model ambaye ni kama ile premio new model , allion ni super
Yes 1.8Allion 18 bila shaka, ile gari iko Super sana.
kuna matoleo mawili tuu yaan first and second generationHivi kuna matoleo mangapi ya Premio???
Je toleo gani ni zuri kuliko mengine???
second generation ni toleo zuri kwa sababu liko more modernized na kimuonekano ni super, japo wabongo wengi hawako tayar kutoa milion 25 au 30 anunue sedan ni bora tu anunue harrier au gar zingine za juu ndo mana izi second gen sio nyingi mtaani japo watu wanazipendaHivi kuna matoleo mangapi ya Premio???
Je toleo gani ni zuri kuliko mengine???
Engine cc ngpYangu namba DB inatembea kilomita 7 kwa lita
Cc 1790Engine cc ngp
Umeshafeli, hii nayo ni nini? Ni ya mwaka 1996kuna matoleo mawili tuu yaan first and second generation
first gen ni from 2001 to 2007, apa zimegawanyika kidgo 2001 to 2004 then 2005 to 2007 they do some minor modifications inaitwa facelift like kubadilisha muundo wa taa kidgo but they use same engine platforms
second gen is from 2007 up to 2021 zina modifications kwa body and engines na muonekano ni tofauti sana na first gen
From 2021 premio and allion zimekua dicontinued hazitengenezwi tenao
Yaani leo 2022 watu wazungumzie toleo la 1996?????Umeshafeli, hii nayo ni nini? Ni ya mwaka 1996
View attachment 2410922
Ni ngumu aise million 25 ni bora nivute forester mpya kutoka Japansecond generation ni toleo zuri kwa sababu liko more modernized na kimuonekano ni super, japo wabongo wengi hawako tayar kutoa milion 25 au 30 anunue sedan ni bora tu anunue harrier au gar zingine za juu ndo mana izi second gen sio nyingi mtaani japo watu wanazipenda
iyo ni corona premio sio premio iyo ilivokua discontinued ndio wakaanza kutengeneza premio like carina ilivokua discontinued wakaanza kutengeneza allion hatuwez sema carina ni allionUmeshafeli, hii nayo ni nini? Ni ya mwaka 1996
View attachment 2410922
sure ni matumizi mabaya ya hela[emoji28]K
Ni ngumu aise million 25 ni bora nivute forester mpya kutoka Japan