JF watu wana pesa balaaa.
Haijafika bei hiyo Mkuu wanaongeza sifuri kuipiga serikali hiyo pesa ukinunua gari hapa SA ni gari kweli sio hiyo...hapo engine ya hiyo kilimo Kwanza inauzwa mpaka 50m tena unetafuta kweli hapa hata million Saba haifiki...mna bei zenu ambazo hazipo duniani zipo hapo tuuKuna wengine V8 la Ml 400 wanasema kwao ni takataka.
Dah! Sawa sawa kabisa.Haijafika bei hiyo Mkuu wanaongeza sifuri kuipiga serikali hiyo pesa ukinunua gari hapa SA ni gari kweli sio hiyo...hapo engine ya hiyo kilimo Kwanza inauzwa mpaka 50m tena unetafuta kweli hapa hata million Saba haifiki...mna bei zenu ambazo hazipo duniani zipo hapo tuu
Kuna mercedes suv gls 600 maybatch (acha hii kitu)au kwa sababu nimeona magari mengi na kudrive mazuri pia yaani niache kufikiri Cayenne,bmw X 6 4.0d au hayo Mercedes GL Class nifikiri viieiti hapana sina mapenzi ya kuiga mkumbo kuna mnyama mwingine biography ukiendesha utadhani upo ndani sitting room gari imetulia mnooo...
EBwana eeeeeeUko sahihi sana , engine ndogo ikiwa na nguvu nyingi haiwi comfortable , ratling za kutosha due to heavy vibrations , ndio sababu engine Kama 4m51 ya mitsubishi ina shaft balance Ili kupunguza vibrations .
Engine ikiwa kubwa huwa ina firing oder ya karibu karibu, na hii ndo fuanya engine kuwa comfortable na quiet na very stable wakati wa ku deliver torque , na unaweza ukapunguza idling rpm unavtotaka na engine haitazima Wala kutetemeka .
Zipo youtube video za rolls royce v12 , jamaa kaweka glass ya Maji juu ya engine anapiga ress za kutosha na glass haitikisiki Wala kumwaga
Wanasema kwamba V8 engine ni kubwa hivyo uchafuzi wake wa mazingira ni mkubwa pia. Watakuwa wanatengeneza V6 pekee yakeMwaka huu mwezi wa Tatu ndo mwisho wa Kuzalisha ToyotaLand cruiser 200 series V8, na hii imepelekea watu wengi ku oda za mwisho mwisho.
Kumekuwa pia na malalamiko mengi na wengi wakiamini haya Magari ndo king of road.
View attachment 1690899View attachment 1690902
Harafu wanadanganyana eti 400m baada ya kuongeza sifuri Kuna mashine moja Mercedes GL 63 hiyo gari ndani acha kabisa upate ya 2018 au 2020 sijui ndugu zangu wanaferi wapi aisee wanataka kurithisha uongo kwamba hiyo ndio gari bora huku sisi magari bora tunayajua...Kuna mercedes suv gls 600 maybatch (acha hii kitu)
Afu kuna mercedes gle 350d coupe (usipime mzee)
Sielewi watu wakizungumzia hayo vieite 200 seriesView attachment 1693691
Uko sahihi sana , engine ndogo ikiwa na nguvu nyingi haiwi comfortable , ratling za kutosha due to heavy vibrations , ndio sababu engine Kama 4m51 ya mitsubishi ina shaft balance Ili kupunguza vibrations .
Engine ikiwa kubwa huwa ina firing oder ya karibu karibu, na hii ndo fuanya engine kuwa comfortable na quiet na very stable wakati wa ku deliver torque , na unaweza ukapunguza idling rpm unavtotaka na engine haitazima Wala kutetemeka .
Zipo youtube video za rolls royce v12 , jamaa kaweka glass ya Maji juu ya engine anapiga ress za kutosha na glass haitikisiki Wala kumwaga
Hiyo GLE 350d haitishi sana kwenye speed ana 250 hp.Kuna mercedes suv gls 600 maybatch (acha hii kitu)
Afu kuna mercedes gle 350d coupe (usipime mzee)
Sielewi watu wakizungumzia hayo vieite 200 seriesView attachment 1693691
Kuna mercedes suv gls 600 maybatch (acha hii kitu)
Afu kuna mercedes gle 350d coupe (usipime mzee)
Sielewi watu wakizungumzia hayo vieite 200 seriesView attachment 1693691
Unayajua mavieitee wewe?Tanzania bado imejaa viongozi wa kishamba. Kenya hakuna kiwewe na V8 kwa viongozi.
Sehemu kubwa ya magari ya viongozi wa Kenya ni magari ya kawaida kabisa.
UnaotaToyota watakuja na small engine say 2400 cc, twin turbo, hybrid ( more of electric plus little fuel) na horse power kubwa kuliko hiyo ya V8 VXR, more speed say 300km/hr and more fuel efficient, eg 6km per liter. Alafu bei itakuwa ghali kuliko ya sasa, alafu shape kalii balaa. Sasa waafrika tutamaliza hela huko
Jana tu alikua huko Arusha akiwakabidhi CCM li Vieite jipya.Hiii habari itamuumiza Sana chakubanga.