Gx v8 baba lao
V6 GXR kwenye mafuta liko vizuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gx v8 baba lao
Hahaha vipi mkuu unayo hio V8? 😀😀😀Unachelewa kuijua Dunia ya magari mkuu
Mi huwa nayaona takataka tu. I adore Mercedes Benz G ClassMwaka huu mwezi wa Tatu ndo mwisho wa Kuzalisha ToyotaLand cruiser 200 series V8, na hii imepelekea watu wengi ku oda za mwisho mwisho.
Kumekuwa pia na malalamiko mengi na wengi wakiamini haya Magari ndo king of road.
View attachment 1690899View attachment 1690902
SawaV6 GXR kwenye mafuta liko vizuri sana
Power output ni ileile?Engine zimekuwa advanced na refined kiasi kwamba hakuna tena haja ya engine kubwa kwenye segment ya luxury cars
Wanapositisha hiyo v8 kwenye 200 series , 300 itakapotoka itakuja na V6 configuration ambayo inasemekana ni efficient kuliko hiyo v8
Injini ni ilele na hata body zimepishana kidogo kimuonekanoHaifikii 200 siries lakini, haya ni imara sana
[emoji23][emoji23][emoji23] humu ndani kila mtu ana V8 mkuuHahaha vipi mkuu unayo hio V8? [emoji3][emoji3][emoji3]
Itakuwa balaaToyota watakuja na small engine say 2400 cc, twin turbo, hybrid ( more of electric plus little fuel) na horse power kubwa kuliko hiyo ya V8 VXR, more speed say 300km/hr and more fuel efficient, eg 6km per liter. Alafu bei itakuwa ghali kuliko ya sasa, alafu shape kalii balaa. Sasa waafrika tutamaliza hela huko
Hapana Vx V8 Platinum edition ndiyo Baba laoGx v8 baba lao
Mayazo yake tuu. Unajua kuna mtu mwingine hayuko interested na mjapani . kuna mwingine kama mimi hupenda gari za mmarekani na mwingereza so watu wanatofautiana ki branda mkuu, kutoyapenda haina maan umechelewaUnachelewa kuijua Dunia ya magari mkuu
Hapa tunachungulia tu nakupita mkuu...ma vieite haya.[emoji28][emoji28]JF watu wana pesa balaaa.
[emoji23][emoji23]...[emoji23][emoji23][emoji23] humu ndani kila mtu ana V8 mkuu