Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Sijawai kuwa na ndoto ya et kumiliki land cluiser v8.
Migari mikubwa kama hii raha yake ni kuendeshwa sio kujiendesha.
Migari mikubwa kama hii raha yake ni kuendeshwa sio kujiendesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unatoa ajira naww kwa kutafuta dereva akuendeshe,..kwani madereva wameisha jamanii..??Sijawai kuwa na ndoto ya et kumiliki land cluiser v8.
Migari mikubwa kama hii raha yake ni kuendeshwa sio kujiendesha.
[emoji23][emoji23][emoji23] humu ndani kila mtu ana V8 mkuu
Utanunua used jamaniKwahiyo hii ndoto yangu niotayo ya kuja kumuliki huu mdude ndiyo nisiote tena..??
au kwa sababu nimeona magari mengi na kudrive mazuri pia yaani niache kufikiri Cayenne,bmw X 6 4.0d au hayo Mercedes GL Class nifikiri viieiti hapana sina mapenzi ya kuiga mkumbo kuna mnyama mwingine biography ukiendesha utadhani upo ndani sitting room gari imetulia mnooo...Mi huwa nayaona takataka tu. I adore Mercedes Benz G Class
Hahaha kasoro mimi tu mkuu hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] humu ndani kila mtu ana V8 mkuu
Kuna wengine V8 la Ml 400 wanasema kwao ni takataka.JF watu wana pesa balaaa.
Hapa naomba mnisaidie kuelewa... Je, V8 ni aina ya gari au ni aina ya engine? Siku zote mimi nimekuwa nikijua kuwa V8 ni aina ya engine (eight cylinders) na zipo kwenye seeies mpaka V12 (kwenye supercars). Mwenye utaalamu atupe darasa tafadhali
Sina data kamiii Ila kwa kuwa ni advanced edition lazima itakuwa juu kwa kila kituPower output ni ileile?
Toyota wanakuja na toleo jipya hivyo zitkauja v8 300 seriesInaweza kuwa sababu moja wapo
Wanakuja na V8 advanced zaidi!Ikiwa ni kweli, basi wakuu wa nchi za ki Africa watateseka nafsi sana. Haya maguruwe huwafanya kuwa vipofu hata kufikia kuwaua ndugu zao kisa V8
Odhis *
Mkuu toyota hawawezi kuacha kuazalisha gari ya gharama na inayotesa soko la Australia na Afrika kirahisi tu hivi.mbona magari ya fahari yapo mengi tu?!?, watanunua hata ford za kimarekani. Hata hivyo naamini toyota watakuja na toleo jipya expensive zaidi na africa itahamia huko
Hapana mkuu, zinakuja 300 seriesKwahiyo hii ndoto yangu niotayo ya kuja kumuliki huu mdude ndiyo nisiote tena..??
Mkuu zinakuja V8 300 series ambayo itakuwa advanced zaidi ya hiyoJapani wamenikatili sana aisee!!
Niliapa wajukuu wangu watanikuta na ma v8 Sasa sijui itakuawaje aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema Mavieiteee, kama wewe sio mukurugenzi huwezi endesha vieitee..Sisi sekiretarieti tunatembelea vieite