Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

Urudi home ukafanye nini, aluta continua

Huko kwa waalimu na wenyewe wawekewe interviews maana Advance, tulipata teacher mmoja ambaye hadi kuingia darasani alikuwa anaogopa maana uwezo haba

Ilifikia kipindi anaweka alarm, ikiita anatoka nje kama anapokea simu kumbe ndio harudiii hivyo na kesho yake akija anaanza na topic mpya 😁😁😁

Kada zingine tupambane tu
Hahahahaha
 
Urudi home ukafanye nini, aluta continua

Huko kwa waalimu na wenyewe wawekewe interviews maana Advance, tulipata teacher mmoja ambaye hadi kuingia darasani alikuwa anaogopa maana uwezo haba

Ilifikia kipindi anaweka alarm, ikiita anatoka nje kama anapokea simu kumbe ndio harudiii hivyo na kesho yake akija anaanza na topic mpya 😁😁😁

Kada zingine tupambane tu
Mwalimu ameshakaa mtaani miaka nenda miaka rudi,kwanini akili isilale?
Kosa ni la serikali..
With time akili inaamka taratibu.


Afya wakiweka interview labda kama wanataka watu wauawe kabisa.
Miaka yote 5 daktari anasoma..na wa 6 wa internship,anapewa na leseni..afu afanye tena interview!
Mauaji hayo.
 
Ngerudi nyumbani 😂😂😂


Ualimu na afya ni kula goodtime tu.
Tuma application,subiri upangiwe kituo cha kazi kama umepata.


Njoo sasa kada nyingine,
Watu wanahenyeshwa pesa za nauli,muda,akili, na bado kibarua hakuna.
Nako ni shida tuu mkuu
 
Nako ni shida tuu mkuu
Bora huko
Mtu hachomi nauli.
Umekosa umekosa,hujahangaika na mtihani wowote,wala hujachoma pesa zako za madafu.

Mtu kachoma nauli yake,Written,Oral, wengine sijui practical

Halafu watu wanakuja kupeana kazi kwenye email.
 
Nimecheka kama mazuri 😂😂
Pole yao wapambanaji waliotoswa.

Nimewaza tu namna watu walihangaika kusoma,wakisubiri paper,,bado paper lenyewe watu wa banking wakasumbuliwa sana

Na bado ajira wamekosea

Tz ni kiboko🙌
Labda Mungu aje aingilie kati.
Ila hili la kuficha majina ya waajiriwa linaleta maswali mengi sana….
 
Ila hili la kuficha majina ya waajiriwa linaleta maswali mengi sana….
Mimi sijashangaa maana system yao tu ilikuwa mbovu tangu kwenye application.

Kuna watu walishindwa kutuma application kisa gusystem gubovu li IT ni bongee la kilaza na bado lipo ofisini.

Maumivu watu wameanza kuyapata Toka kwenye kuapply.
 
Hatari sana mimi toka mwanzo nilisema kama hukupata ajira za TRA kupitia Utumishi sahau kabisa hahaha
Nashangaa Kuna watu walifurahia sana,na wakawaona walioshindwa kuapply kama wazembe.

Haya sasa,ni maumivu tu
Hukupigwa tukio kwenye kuapply,unakuja pigwa tukio kwenye mtihani,,na majibu kama hivyo yamepikwa juu kwa juu.

Muda kitambo kilio kitakuwa kimoja,utumishi wachukue zoezi.
 
Namimi nimeshangaaa sana aisee.
Naona karibu wote ni watu wazima kwelikweli age imesogea
Kwan tangazo la ajira liliandika vipi kuhusu umri? Ninachojua taaasisi nyingi za serikali umri wa mwisho kuajiriwa ni miaka 45.

Na hizo sura sio kwamba ni watu wazima kiivyo Bali kwa muonekano wao inaonyesha walikuwa wameajiriwa sehemu ambapo pesa ya kula na kun'garishia sura sio tatizo.
 
that's y nilisema hii ishu ya kuajiri bora wangebaki nayo utimishi ila huu uhuru wa mataasisi kuajiri ni noma sana hakuna rangi tutaacha kuona...
Watu walifurahia
Eti wapate ajira haraka haraka,utumishi wanachelewesha mambo

Haya sasa mambo ya fasta hayo
Tra wamepika mambo,na tayari watu wapo kazini kwa emails😂
 
Urudi home ukafanye nini, aluta continua

Huko kwa waalimu na wenyewe wawekewe interviews maana Advance, tulipata teacher mmoja ambaye hadi kuingia darasani alikuwa anaogopa maana uwezo haba

Ilifikia kipindi anaweka alarm, ikiita anatoka nje kama anapokea simu kumbe ndio harudiii hivyo na kesho yake akija anaanza na topic mpya 😁😁😁

Kada zingine tupambane tu
Sasa Topic kama za physics aisee Mwalimu anaachaje kukimbia mambo meusi😂😂😂

Hujasoma tuisheni utajijua mwenyewe,siyo shida zake
 
Watu walifurahia
Eti wapate ajira haraka haraka,utumishi wanachelewesha mambo

Haya sasa mambo ya fasta hayo
Tra wamepika mambo,na tayari watu wapo kazini kwa emails😂
Hatari sana watu wamepigwa bonge la suprise aiseeee hahahaha😂😂😂😂 utumishi lazima wakumbukwe
 
Huu ni utaratibu mpya wa kutoa ajira? Kwanini Majina ya waajiriwa hayawekwi hadharani? Kwanini watumiwe tuu Email?

Mbona kweye usaili waliweka hadharani namba na wahusika wa Usaili?

Kuna shida gani kuujuza Umma kuwa nafasi 500+ zimepata wahusika? Kuna shida gani TRA?

Hapa chini ni waajiriwa wwpya walio anza mafunzo leo..nafikiri kila waliofanya usaili wa mdomo wamestuka kuona wenzao wameanza mafunzo!
Ni kama waliambiwa wavae tai
Wote wa tai wakawekwa mabenchi ya mbele


Noma sana.
Na wanasisitizwa uadilifu,wakati mchakato tu wa Ajira ulikuwa magumashi.


Hapo ni upigaji kwenda mbele hadi wavimbiwe.
 
Back
Top Bottom