🤣🤣🤣🤣 Bongo nyoso.Hatari sana 😂
Umekaa zako unasubiri matokeo
Ghafla unapishana na wenzako wametoka kazini🤣
Huna habari😂
🤣🤣🤣🤣🤣Daah, Hakuna rangi wataacha ona.Watu walifurahia
Eti wapate ajira haraka haraka,utumishi wanachelewesha mambo
Haya sasa mambo ya fasta hayo
Tra wamepika mambo,na tayari watu wapo kazini kwa emails😂
BOT uliishaona wanaofanyisha usahili ni PSRS(utumishi) au uliishaona majina ya kuitwa kazini kwa BOT kila taasisi inataratibu zake taasisi za kifedha ni kama usalama"Bora mchakato wa ajira urudishwe kwa taasisi husika. Utumishi wameshindwa. Utumishi wana urasimu."
Fyoko fyoko fyoko[emoji38]
BOT uliishaona wanaofanyisha usahili ni PSRS(utumishi) au uliishaona majina ya kuitwa kazini kwa BOT kila taasisi inataratibu zake taasisi za kifedha ni kama usalama
Usalama wa wapiBOT uliishaona wanaofanyisha usahili ni PSRS(utumishi) au uliishaona majina ya kuitwa kazini kwa BOT kila taasisi inataratibu zake taasisi za kifedha ni kama usalama
Bot walinipiga Cha mbavu Sina hamu nao,Ila kwa taasisi ukishafanya oral,huwa hawatangazi waliopata ajira ,huwa wanatuma email baada ya wiki 2,kwa waliopata,so after two weeks ukiona kimya,jua imeendah hiyo🤣🤣BOT uliishaona wanaofanyisha usahili ni PSRS(utumishi) au uliishaona majina ya kuitwa kazini kwa BOT kila taasisi inataratibu zake taasisi za kifedha ni kama usalama
Watu wanaugulia maumivu [emoji23][emoji23]Hahahaha
uliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport
Hizo process za kwenda chuo Cha kodi kusoma na kufanya mitihani hakuna mtu atashindwa, amewekewa maziwa kwenye mrija ashindwe tu kunywa.uliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport
Dah! Pole kwa hilo. Japo kuna uzi nilikuombaga mrejesho ukanipotezea mshikaji wangu.Bot walinipiga Cha mbavu Sina hamu nao,Ila kwa taasisi ukishafanya oral,huwa hawatangazi waliopata ajira ,huwa wanatuma email baada ya wiki 2,kwa waliopata,so after two weeks ukiona kimya,jua imeendah hiyo🤣🤣
Kuna watu humu wanaziongelea taasisi wasizozijua kwa imagination zao na sio uhalisia, kama huyo Liverpool VPN mtumishi wa halmashauri inakuwaje mtu uziongelee taasisi nyeti hovyo hovyo unavyojisikia wewe na kuzijudge kupitia sijui mitazamo ya watu wengine of which is so petty-minded aisee.uliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport
uliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport
Hakuna uspecial wowote.Kuna watu humu wanaziongelea taasisi wasizozijua kwa imagination zao na sio uhalisia, kama huyo Liverpool VPN mtumishi wa halmashauri inakuwaje mtu uziongelee taasisi nyeti hovyo hovyo unavyojisikia wewe na kuzijudge kupitia sijui mitazamo ya watu wengine of which is so petty-minded aisee.
Ni kweli hakuna cha uspecial wowote, mbona awali saili zake zilikuwa zinapitia utumishi, sema tu ni mabadiliko haya yaliyokuja ya kusema taasisis zijiendeshe zenyewe ikiwemo na suala la kuajiri zenyewe, nje ya hapo hakuna cha u special wowote hapo , usitake kudanganya watu.Hakuna uspecial wowote.
Toeni PDF, shughulikieni malalamiko ya watu tangu kwenye matokeo ya written interview, mnaitana kazini gizani afu mnataka muaminike.
Boss kwamba TRA Wana u special gani tofauti na hao ulipwataja?uliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport
that's y nilisema hii ishu ya kuajiri bora wangebaki nayo utimishi ila huu uhuru wa mataasisi kuajiri ni noma sana hakuna rangi tutaacha kuona...
Sasa kukaguliwa kwani ni usahili mpk useme tuulize . Wakati kama Ukiweza kufanya Written Interview bhs vigezo unavyo hata akague naniuliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport