mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Aise,tutawadhibiti vipi hawaKondakta si ndiye anaenda kuhonga pesa.
Jeshi la polisi Tanzania ni "organised crime" kabisa.
Umafia tu. Hakuna siri.
Nini kifanyike ?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise,tutawadhibiti vipi hawaKondakta si ndiye anaenda kuhonga pesa.
Jeshi la polisi Tanzania ni "organised crime" kabisa.
Umafia tu. Hakuna siri.
Bofya chini hapo👇🏾Aise,tutawadhibiti vipi hawa
Nini kifanyike ?
Ova
si ndo anashika pesa mkuu wangu!kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?
Duh mmangati tena [emoji1]Umekuwa race halafu hujaelewa. Soma upya, Kisha nionyeshe wapi nimeandika police kwenye comment yangu.
tinafupisha ndio nini kwanza we mmang'ati?
Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?
Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.
Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.
View attachment 2641029Kwani mshahara analipa Manager au mhasibu?
Siyo kila kitu lazima ujue ndugu yanguWakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?
Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.
Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.
View attachment 2641029
Bila ya kuwapa pesa polisi, maisha yatakuwa magumu sana kwa magariKondakta si ndiye anaenda kuhonga pesa.
Jeshi la polisi Tanzania ni "organised crime" kabisa.
Umafia tu. Hakuna siri.
Mbona jambo hilo liko wazi kabisa! Wanapeleka hesabu aka marejesho ya kila siku!!Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?
Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.
Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.
View attachment 2641029
Sababu yy ndio mshika mikobaWakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?
Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.
Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.
View attachment 2641029