Kwanini Trafiki akisimamisha Daladala, anayeshuka ni Kondakta?

Kwanini Trafiki akisimamisha Daladala, anayeshuka ni Kondakta?

Halafu, mleta mada hajakosea; yeye anamzungumzia Trafiki sio traffic. Hivyo ni vitu viwili tofauti, ieleweke.
 
Aise,tutawadhibiti vipi hawa

Nini kifanyike ?

Ova
Bofya chini hapo👇🏾

 
Mshika hela - konda
Mwongeaji - konda
alokabidhiwa chombo - konda
Mjibu shituma - konda
etc
 
Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?

Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.

Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.

View attachment 2641029Kwani mshahara analipa Manager au mhasibu?
 
Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?

Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.

Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.

View attachment 2641029
Siyo kila kitu lazima ujue ndugu yangu
 
Kondakta si ndiye anaenda kuhonga pesa.

Jeshi la polisi Tanzania ni "organised crime" kabisa.

Umafia tu. Hakuna siri.
Bila ya kuwapa pesa polisi, maisha yatakuwa magumu sana kwa magari
 
Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?

Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.

Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.

View attachment 2641029
Mbona jambo hilo liko wazi kabisa! Wanapeleka hesabu aka marejesho ya kila siku!!

Askari wa usalama barabarani wanatimiza majukumu yao kwa asilimia chache sana! Zaidi wapo barabarani kwa lengo la kukusanya hela tu zitokanazo na rushwa.

Jeshi la polisi kila unapofanyika utafiti wa taasisi za serikali zinazo ongoza kwa kupokea rushwa; lazima washike namba 1!!
 
Wakuu, kuna jambo nataka kujifunza leo, hivi ni utaratibu kwenye Madaladala (Hasa ya Dar) kwamba Trafiki akipiga mkono anayetakiwa kwenda kuongea naye ni Kondakta?

Kwa ninavyofahamu ukisamishwa na Trafiki hautakiwi kushuka kwenye gari mpaka Trafiki aje akague anachokitaka bila wahusika wa gari kushuka, kama itatokea shida ndio unatakiwa kushuka kwaajili ya maelezo.

Sasa kwenye Daladala Kondakta anashuka kwenda mbele ya Gari au nyuma kufanya nini? Wasikilize wazee wa minyama hapa.

View attachment 2641029
Sababu yy ndio mshika mikoba
 
Back
Top Bottom