Kwanini tuliozaliwa katika koo za Kichifu/Machifu haturogeki na tuna asili ya kuogopwa na kuheshimiwa mno?

Aahahaaaa
 
Mwenye hali ya namna hiyo anatakiwa kufanya nn?
 
Sawa umeshinda
Wamenishindwa Magwiji Wenzako hapa tokea nijiunge rasmi mwaka 2013 leo hii Wewe Mpumbavu na Mwehu Mmoja unadhani utaniweza Mwamba wa Vita ya Maneno na Maandishi hapa?

Huwa nawapenda mno Watu kama nyie ili niwanyoosheni vizuri. Ungejiamini ungepambana nami kwa kutumia ID yako ile maarufu na siyo Kujificha katika hii.

au waombe akina Last emperor na Kilimbatz waliolaiki ile Post yako Uliyonikashifu ili Wakusaidie au ukiweza Ungana nao kisha nyote pambaneni na Mimi Jeshi la Mtu Mmoja.
 
Umepatia kila Kitu na uko sahihi 100%
 
Sawa kubwa j
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…