Uchaguzi 2020 Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imjibie tuhuma Mgombea?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imjibie tuhuma Mgombea?

[emoji1] we jamaa unaonekana upo NEC na wewe, njoo ujibu maswali hapo. Acheni kuanza kuleta bias
Simple tu,nimekutoa huko usweken nikakupa ukurugenzi wa NEC,halafu mimi nagombea...wewe unasimamia uchaguzi,utakuwa upande wa nani? Kwangu au kwa mpinzani wangu? Ni jibu na wewe hili swali.,..mlileta hoja ya tume huru ya uchaguzi,ikaishia hewani,kwanini muingie kwenye uchaguzi usio huru? Dude .....
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Elimu yako ni ndogo.

Nani huandaa miswada ya sheria? Nani huwa anaandaa miswada ya marekebisho ya sheria? Ungekuwa na uelewa, usingeuliza ulichouliza.

Sijui jwa nini, wengi wanaotumika kumpinga Lisu, ukisoma tu michango yao, utakuwa huna shaka kuwa au ni watu wenye akili ndogo au elimu ndogo au ni wasaliti wa nafsi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Si watuachue wapiga kura tuamue, tumnajua mbivu na mbovu
 
Wakuu mimi si mtaalamu sana wa sheria lakini najaribu kujiuliza maswali machache.

1. Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kupitia mkurugenzi wake) inajaribu kujibu na kukanusha tuhuma kwa mgombea fulani. Si ilipaswa yeye mwenyewe au waenezi wa chama kama akina polelepole wafanye hiyo kazi?.

2. Je, Mkurugenzi anavosema mgombea A anapotosha umma na kuwadhihaki wengine, je hiyo kauli yake kuwa kuna watu watapeleka madini nje kwake haoni kama ni tuhuma pia.

Na hii imesemwa na mgombea anaye mtetea, haoni kama ni kitu kilekile anachokataza upande wa pili?

3. Anavosema watanzania wanataka A,B,C, hawataki E,F,G ni lini alikaa na watanzania wakamwambia hayo. Je anaweza kuthibitisha hayo mahakamani.

4. Je, uvunjaji wa taratibu unaofanywa na baadhi ya wagombea ubunge, mfano anayetoka nje ya jimbo lake kumnadi mgombea urais wa chama chake (kazi iliyopaswa kuwa ya mgombea mwenza) hayo haoni kama ni ukiukwaji wa taratibu?

Nawasilisha
Yule mkurugenzi ni kihiyo ambaye hajui majukumu yake au anafanya makusudi kwa kuwaona watanzania ni mazazwa. Kwa hili ameonesha kabisa kuwa hafai kuwa katika ile nafasi.
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Hiyo siyo kazi ya Tume, Lisu anaongea yale anayoamini yatamwongezea kura, usimpangie mtu cha kuongea na wananchi.
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?

Jikite kwenye hoja,ni sahihi NEC kugeuka msemaji wa CCM?
 
Wakuu mimi si mtaalamu sana wa sheria lakini najaribu kujiuliza maswali machache.

1. Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kupitia mkurugenzi wake) inajaribu kujibu na kukanusha tuhuma kwa mgombea fulani. Si ilipaswa yeye mwenyewe au waenezi wa chama kama akina polelepole wafanye hiyo kazi?.

2. Je, Mkurugenzi anavosema mgombea A anapotosha umma na kuwadhihaki wengine, je hiyo kauli yake kuwa kuna watu watapeleka madini nje kwake haoni kama ni tuhuma pia.

Na hii imesemwa na mgombea anaye mtetea, haoni kama ni kitu kilekile anachokataza upande wa pili?

3. Anavosema watanzania wanataka A,B,C, hawataki E,F,G ni lini alikaa na watanzania wakamwambia hayo. Je anaweza kuthibitisha hayo mahakamani.

4. Je, uvunjaji wa taratibu unaofanywa na baadhi ya wagombea ubunge, mfano anayetoka nje ya jimbo lake kumnadi mgombea urais wa chama chake (kazi iliyopaswa kuwa ya mgombea mwenza) hayo haoni kama ni ukiukwaji wa taratibu?

Nawasilisha
Anaokoa jahazi linazama. Meli imetoboka
 
Simple tu,nimekutoa huko usweken nikakupa ukurugenzi wa NEC,halafu mimi nagombea...wewe unasimamia uchaguzi,utakuwa upande wa nani? Kwangu au kwa mpinzani wangu? Ni jibu na wewe hili swali.,..mlileta hoja ya tume huru ya uchaguzi,ikaishia hewani,kwanini muingie kwenye uchaguzi usio huru? Dude .....
Hii ndio imekuwa ikitu cost nchi changa ki diplomasia na inahitaji mabadiliko. Kuwa rais haimaanishi utakalotaka wewe hata kama sio sahihi ni sawa. Fikiria ni mara ngapi rais kama Donald Trump huwa anazuiliwa kufanya maamuzi yasiyo ya busara yenye hasira au chuki na Congress ambayo hayana maslahi kwa nchi.
Lazima Rais kamba yake iwe na defined length
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Hizo sheria kandamizi mnazozitumia kupigia pesa kuwaibia watz masikini mwisho October.Kosa kidogo tu faini milioni 5 mwisho October.Waendesha mashitaka na mahakimu wamevuna mabilioni kwa kuchelewesha kesi huna pesa utaozea mahabusu,jiulize why jela masikini ndio wengi jibu hawana pesa za kununua Uhuru wao.
Masheria ya kidikteta mwisho October,hivi unamuweka vipi ndani 5 yrs mtu eti ushahidi haujakamilika utadhani ushahidi unatoka mbinguni,halafu siku ya ibada eti nawe unasali.
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Unajua utaratibu wa kutunga sheria ipoje???

Kweli CCM ni vilaza, hujui bill zinaandaliwa na serikali ndo zinapelekwa bungeni???😂😂😂
 
Hii ndio imekuwa ikitu cost nchi changa ki diplomasia na inahitaji mabadiliko. Kuwa rais haimaanishi utakalotaka wewe hata kama sio sahihi ni sawa. Fikiria ni mara ngapi rais kama Donald Trump huwa anazuiliwa kufanya maamuzi yasiyo ya busara yenye hasira au chuki na Congress ambayo hayana maslahi kwa nchi.
Lazima Rais kamba yake iwe na defined length
Yes,ndio kulikuwa na jambo la mabadiliko ya katiba n.k,lingeshughulikiwa hili maana yake na tume huru ya uchaguzi ingepatikana,pia ingewezekana Rais kupunguziwa nguvu kwenye baadhi ya maamuzi na machaguzi,na uteuzi wa vyombo kama NEC,kwahiyo sasa katiba mpya ni suala la msingi si tu kwa upinzani,bali kwa watanzania wote.vinginevyo ndio kama hivi yan...

Nadhani utakuwa umepata majibu ya maswali yako.
 
Yes,ndio kulikuwa na jambo la mabadiliko ya katiba n.k,lingeshughulikiwa hili maana yake na tume huru ya uchaguzi ingepatikana,pia ingewezekana Rais kupunguziwa nguvu kwenye baadhi ya maamuzi na machaguzi,na uteuzi wa vyombo kama NEC,kwahiyo sasa katiba mpya ni suala la msingi si tu kwa upinzani,bali kwa watanzania wote.vinginevyo ndio kama hivi yan...

Nadhani utakuwa umepata majibu ya maswali yako.
Ndicho ambacho mgombea wa urais kupitia Chadema amekuwa akisisitiza kinyume na yule anayesema yeye kwake katiba sio kiaumbele.
JPM anafanya maendeleo hiyo ipo wazi ila madaraka na nguvu kubwa aliyonayo inapunguza uwazi na ufanisi. Hata ushauri hapokei, ndio maana kunabmaswala huwa ana prive total failure. Mf sakata la korosgo last year
Tatizo wengi ukizungumzia katiba mpya, haki na uhuru wanaona unataka kuleta fujo.
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Kuwa na akili basi hata baadhi ya masaa mkuu.
Hujui kwamba sheria ndio mgongo wa maendeleo? Hiyo kodi inayokusanywa kwaajili ya maendeleo haikusanywi kwa mujibu wa sheria?
Huo mshahara unaolipwa ofisi unayoifanyia kazi ambayo ndio chachu ya maendeleo yako haulipwi kwa mujibu wa sheria?
Hiyo nyumba uliyopanga au uliyojenga haulipwi Kodi kwa mujibu wa sheria?
Ndiomana sishangai wanaosema wanaccm akili zimelala kwasababu mambo mengine ya wazi kabisa lakini wao wataoppose.
 
Wakuu mimi si mtaalamu sana wa sheria lakini najaribu kujiuliza maswali machache.

1. Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kupitia mkurugenzi wake) inajaribu kujibu na kukanusha tuhuma kwa mgombea fulani. Si ilipaswa yeye mwenyewe au waenezi wa chama kama akina polelepole wafanye hiyo kazi?.

2. Je, Mkurugenzi anavosema mgombea A anapotosha umma na kuwadhihaki wengine, je hiyo kauli yake kuwa kuna watu watapeleka madini nje kwake haoni kama ni tuhuma pia.

Na hii imesemwa na mgombea anaye mtetea, haoni kama ni kitu kilekile anachokataza upande wa pili?

3. Anavosema watanzania wanataka A,B,C, hawataki E,F,G ni lini alikaa na watanzania wakamwambia hayo. Je anaweza kuthibitisha hayo mahakamani.

4. Je, uvunjaji wa taratibu unaofanywa na baadhi ya wagombea ubunge, mfano anayetoka nje ya jimbo lake kumnadi mgombea urais wa chama chake (kazi iliyopaswa kuwa ya mgombea mwenza) hayo haoni kama ni ukiukwaji wa taratibu?

Nawasilisha
Namba 4 sheria na taratibu haziruhusu?
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
We hvi hujui nani anapeleka bills bungeni....hakuna sheria bila rais au serikali
 
Back
Top Bottom