Kwanini tumekubali kurudi kwenye siasa za chuki? Mbona wananchi wanaishi kwa amani? Viongozi wana hofu gani?

Kwanini tumekubali kurudi kwenye siasa za chuki? Mbona wananchi wanaishi kwa amani? Viongozi wana hofu gani?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.

Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.

Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?

Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
 
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.

Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.

Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?

Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
Kutaka kuitisha maandamano ya vurugu Kwa nini? Polisi shikilieni hapo hapo Kwa sababu Chadema wamechoka na uhuru
 
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.

Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.

Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?

Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
Kwa sababu tuna baadhi ya watu katika nchi hii ambao ni wazi wana tatizo la afya ya akili, ndani ya serikali, CCM na Polisi
 
Maandamano ya Vurugu?! Tumefanya Maandamano ya AMANI Nchi nzima hizo hoja zenu ni za kipuuzi.
Hujiulizi Kwa nini saizi mumezuiwa? Si mlikuwa na njama zenu kwani nani hajui? Ndio maana hata Wananchi wanawapuuza
 
..Watanzania tunastahili siasa za USAWA NA HAKI.

..Haiwezekani baadhi wafanye siasa kwa uhuru huku wengine wakibugudhiwa, na kunyanyaswa.

..Chadema ni Watanzania hawapaswi kutendewa kama ni watu wa daraja la chini.
 
Kaulizwa IGP kwamba Chadema waliwahi kufanya vurugu gani kashindwa kujibu, sasa kama wewe unalo jibu tuambie
Kazi ya Polisi ni kunusa vurugu mapema ,kama this time mlipanga kufanya vurugu why msidhibitiwe.

Leta jibu lake ndio niamini kama kahindwa.
 
Binti wa yombo
Sawa ila Polisi wamenifurahisha Kwa kuwashikisha adabu,Sasa hivi wanaimba wimbo mmja hii hapa 😂😂👇👇
20240812_153546.jpg
 
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.

Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.

Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?

Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
Ccm ni sikio laekufa
 
Back
Top Bottom