Kwanini tunaadhimisha siku ya kufa Nyerere badala ya kuzaliwa kwake kama wafanyavyo wengine?

Kwanini tunaadhimisha siku ya kufa Nyerere badala ya kuzaliwa kwake kama wafanyavyo wengine?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Krismasi ni siku Yesu aliyozaliwa au Birthday ya Yesu, Pasaka ni siku Yesu alipofufuka na ndiyo Sikukuu muhimu katika Ukristo unaweza kusema Pasaka ndiyo Ukristo wenyewe, sijawahi kusikia sikukuu ya kufa kwa Yesu, mnafikiri ni kwa nini ?

Sasa kwa nini Tanzania Nyerere Day ni siku Mwalimu Nyerere aliyofariki? Dunia nzima nchi husherehekea siku ya kuzaliwa ya mtu maarufu aliyefariki na siyo kifo chake, ukisikia Mandela Day ni siku aliyozaliwa Mandela birthday yake na siyo siku aliyokufa, hata Martin Luther Jr. Day USA ni Birthday ya Martin Luther na siyo siku aliyokufa, Gadhi day ni Birthday ya Mahatma Gadhi India na siyo siku aliyofariki, Dunia nzima hakuna nchi inayotenga siku ya kufa Kiongozi wake kama Holliday bali ni Birthday yake, hata kwenye Uislamu, Maulid ni birthday ya Mtume (SAW) na siyo siku kufa kwake.

Sasa kwa nini Tanzania iko tofauti na Dunia nzima? Eti Nyerere Day ni siku ya kifo cha Mwalimu Nyerere na watu wanasherehekea kabisa na kupongezana eti happy Nyerere Day , kuna kipi cha kuwa happy siku ya kifo?

TZ ni low IQ!
 
Exit the matrix.
kila mtu anede njia impendezayo
 
Krismasi ni siku Yesu aliyozaliwa, Pasaka ni siku Yesu alipofufuka na ndiyo Sikukuu muhimu katika Ukristo unaweza kusema Pasaka ndiyo Ukristo wenyewe.

Sasa kwa nini Tanzania Nyerere Day ni siku Mwalimu Nyerere aliyofariki? Dunia nzima nchi husherehekea siku ya kuzaliwa ya mtu maarufu aliyefariki na siyo kifo chake, ukisikia Mandela Day ni siku aliyozaliwa Mandela birthday yake na siyo siku aliyokufa, hata Martin Luther Jr. Day USA ni Birthday ya Martin Luther na siyo siku aliyokufa, Gadhi day ni Birthday ya Mahatma Gadhi India na siyo siku aliyofariki, Dunia nzima hakuna nchi inayotenga siku ya kufa Kiongozi wake kama Holliday bali ni Birthday yake, hata kwenye Islam Maulid ni birthday ya Mtume (SAW) na siyo kufariki kwake.

Sasa kwa nini Tanzania iko tofauti na Dunia nzima? Eti Nyerere Day ni siku ya kifo cha Mwalimu Nyerere na watu wansherehekea kabisa na kupongezana eti happy Nyerere Day , kuna kipi cha kuwa happy siku ya kifo?

TZ ni low IQ!
Wewe leo watu wameamua kutupia mawe utawala wa kidhalimu wa awamu ya 5, wewe unakuja na weak divergence point? No way. Kafie mbele huko.
 
Wewe leo watu wameamua kutupia mawe utawala wa kidhalimu wa awamu ya 5, wewe unakuja na weak divergence point? No way. Kafie mbele huko.

Unaita week? Jaya basi happy Nyerere day, unaburudikia na kufurahia wapi leo Nyerere day?
 
Kufa unaweza kufanya sherehe?

Ndiyo maajabu ya Tanzania hayo, Nyerere Day ni siku aliyokufa Mwalimu Nyerere, wanafanya sherehe tena wanaambiana happy Nyerere day, Tanzania watu wana akili ndogo sana!
 
Karume Day 4 April

Karume Day is a public holiday in Tanzania, observed on April 7th.

Also known as Sheikh Abeid Amani Karume Day, this day commemorates the assassination of Zanzibari President Abeid Karume in 1972
 
Krismasi ni siku Yesu aliyozaliwa, Pasaka ni siku Yesu alipofufuka na ndiyo Sikukuu muhimu katika Ukristo unaweza kusema Pasaka ndiyo Ukristo wenyewe.

Sasa kwa nini Tanzania Nyerere Day ni siku Mwalimu Nyerere aliyofariki? Dunia nzima nchi husherehekea siku ya kuzaliwa ya mtu maarufu aliyefariki na siyo kifo chake, ukisikia Mandela Day ni siku aliyozaliwa Mandela birthday yake na siyo siku aliyokufa, hata Martin Luther Jr. Day USA ni Birthday ya Martin Luther na siyo siku aliyokufa, Gadhi day ni Birthday ya Mahatma Gadhi India na siyo siku aliyofariki, Dunia nzima hakuna nchi inayotenga siku ya kufa Kiongozi wake kama Holliday bali ni Birthday yake, hata kwenye Islam Maulid ni birthday ya Mtume (SAW) na siyo kufariki kwake.

Sasa kwa nini Tanzania iko tofauti na Dunia nzima? Eti Nyerere Day ni siku ya kifo cha Mwalimu Nyerere na watu wansherehekea kabisa na kupongezana eti happy Nyerere Day , kuna kipi cha kuwa happy siku ya kifo?

TZ ni low IQ!
Kwa maana ya kuwa ni siku ya sikukuu kwa nchi yetu ni kweli kabisa na ni kweli hakuna adhimisho la kitaifa la siku hii.
Lakini kwa maana ya kibiblia hii ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu. Na adhimisho la sikukuu hii huanza siku inayofuata baada yake na siku hiyo huesabika kuwa kama ni sabato ndogo.

Kwa hiyo basi siku ya 14 ya mwezi wa kwanza wa Kiyahudi ni sikukuu ya Pasaka, siku ya 15 ni siku ya mikate isiyotiwa chachu, ambayo ndiyo siku Masihi alikufa pale msalabani, na siku ya 16 ni siku hiyo ya sabato ndogo.

Ni vyema tukarejea nukuu kutoka katika maandiko matakatifu kama vile ifuatavyo:

Mambo ya Walawi 23

1 Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
2 Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Sikukuu za BWANA, ambazo mtazitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu; hizi ni sikukuu zangu.
3 Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yoyote; ni Sabato kwa BWANA katika makao yenu yote.
4 Sikukuu za BWANA ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayatangaza kwa nyakati zake.
5 Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA.
6 Na siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu kwa BWANA ya mkate usiotiwa chachu; mtaila mikate isiyochachwa muda wa siku saba.
7 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yoyote ya utumishi.
 
Karume Day 4 April

Karume Day is a public holiday in Tanzania, observed on April 7th.

Also known as Sheikh Abeid Amani Karume Day, this day commemorates the assassination of Zanzibari President Abeid Karume in 1972

Maajabu ya Tanzania tu hayo, na wanasema happy Karume day, angalau wale waliomuua wakiita siku Karume aliyokufa Karume Day hapo ni sawa kwani kwao ni sherehe, lkn kusherehekea siku ya kufa ya mtu mnayempenda ni maajabu ya Musa, hii ni Tanzania tu Dunia hii!
 
Kwa maana ya siku ya sikukuu kwa nchi yetu ni kweli kabisa hakuna hadhimisho la kitaifa
Lakini kwa maana ya kibiblia hii sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu. Na adhimisho la sikukuu huanza siku inayofuata na huesabika kama sabato ndogo.

Kwa hiyo basi siku ya 14 ya mwezi wa kwanza wa Kiyahudi ni sikukuu ya Pasaka, siku ya 15 ni siku ya mikate isiyotiwa chachu, ambayo ndiyo siku Masihi alikuwa pale msalabani, na siku ya 16 ni siku ya sabato ndogo.

Ni vyema tukarejea nukuu kutoka katika maandiko matakatifu kama vile ifuatavyo:

Mambo ya Walawi 23

1 Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
2 Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Sikukuu za BWANA, ambazo mtazitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu; hizi ni sikukuu zangu.
3 Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yoyote; ni Sabato kwa BWANA katika makao yenu yote.
4 Sikukuu za BWANA ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayatangaza kwa nyakati zake.
5 Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA.
6 Na siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu kwa BWANA ya mkate usiotiwa chachu; mtaila mikate isiyochachwa muda wa siku saba.
7 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yoyote ya utumishi.

Sielewi unachomaanisha labda haujanielewa nilichomaanisha!
 
Back
Top Bottom