The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Tanzania mnaita Nyerere Day kwa hiyo mnasherekea kifo?
Ukiona day ni sikukuu au sherehe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania mnaita Nyerere Day kwa hiyo mnasherekea kifo?
wewe nyerere sio Yesu periodKrismasi ni siku Yesu aliyozaliwa, Pasaka ni siku Yesu alipofufuka na ndiyo Sikukuu muhimu katika Ukristo unaweza kusema Pasaka ndiyo Ukristo wenyewe.
Sasa kwa nini Tanzania Nyerere Day ni siku Mwalimu Nyerere aliyofariki? Dunia nzima nchi husherehekea siku ya kuzaliwa ya mtu maarufu aliyefariki na siyo kifo chake, ukisikia Mandela Day ni siku aliyozaliwa Mandela birthday yake na siyo siku aliyokufa, hata Martin Luther Jr. Day USA ni Birthday ya Martin Luther na siyo siku aliyokufa, Gadhi day ni Birthday ya Mahatma Gadhi India na siyo siku aliyofariki, Dunia nzima hakuna nchi inayotenga siku ya kufa Kiongozi wake kama Holliday bali ni Birthday yake, hata kwenye Islam Maulid ni birthday ya Mtume (SAW) na siyo kufariki kwake.
Sasa kwa nini Tanzania iko tofauti na Dunia nzima? Eti Nyerere Day ni siku ya kifo cha Mwalimu Nyerere na watu wansherehekea kabisa na kupongezana eti happy Nyerere Day , kuna kipi cha kuwa happy siku ya kifo?
TZ ni low IQ!
Mwalimu alileta Uhuru. Sasa hatuna uhuru. Sasa kuna political oppression ambayo unaleta kinyaa.Yule mzee alituachia nchi masikini na siasa zake za ujamaa...ndio maana tunasherekea kifo chake
Ndiyo maajabu ya Tanzania hayo, Nyerere Day ni siku aliyokufa Mwalimu Nyerere, wanafanya sherehe tena wanaambiana happy Nyerere day, Tanzania watu wana akili ndogo sana!
Mkuu hili ni swali nami nimejiuliza.Krismasi ni siku Yesu aliyozaliwa, Pasaka ni siku Yesu alipofufuka na ndiyo Sikukuu muhimu katika Ukristo unaweza kusema Pasaka ndiyo Ukristo wenyewe.
Sasa kwa nini Tanzania Nyerere Day ni siku Mwalimu Nyerere aliyofariki? Dunia nzima nchi husherehekea siku ya kuzaliwa ya mtu maarufu aliyefariki na siyo kifo chake, ukisikia Mandela Day ni siku aliyozaliwa Mandela birthday yake na siyo siku aliyokufa, hata Martin Luther Jr. Day USA ni Birthday ya Martin Luther na siyo siku aliyokufa, Gadhi day ni Birthday ya Mahatma Gadhi India na siyo siku aliyofariki, Dunia nzima hakuna nchi inayotenga siku ya kufa Kiongozi wake kama Holliday bali ni Birthday yake, hata kwenye Islam Maulid ni birthday ya Mtume (SAW) na siyo kufariki kwake.
Sasa kwa nini Tanzania iko tofauti na Dunia nzima? Eti Nyerere Day ni siku ya kifo cha Mwalimu Nyerere na watu wansherehekea kabisa na kupongezana eti happy Nyerere Day , kuna kipi cha kuwa happy siku ya kifo?
TZ ni low IQ!
Huo ni Upagani na siyo Ukristo wala Uislamu!
Huitwa ijumaa kuu. Na pasaka na Christmas ni siku kuu. Mengine jiongezeSiyo sikukuu!