Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita vya kiroho...vita vya imani kama unayopigana sasa hivi kwamba iweje kuwa huyu anasemwa hivi na yuko vile...Bila shaka una inner conflict au siyo? Basi sisi vita vyetu ni vya kiroho lakini matokeo huwa katika ulimwengu wa kimwili kama hivi nilivyoweka summary kuwa sasa hivi ushindi upo upande wetu sisi ambao tunaamini kinyume na wao...Is it clear!Hakuna imani ya kweli inayokimbia maswali ndugu, "Ila tumeambiwa tu Maswali ya kipuuzi ujiepushe nayo.."
sasa umepigana na nani au hizo vita zinauhusiano gani na ufreemason kuwa mbaya au mzuri
Kama huyo ni mbaya kwako basi ujue na wewe ni mbaya kwake...huo wema wako ni ubaya kwake kama ulivyo ubaya wake kuwa wema kwa mtu kama mimi...Duniani kuna roho mbili tu ya shetani na ya Mungu na kila mmoja ni mbaya kwa upande wa mwenzake...Jiulize una beba roho ipi?Ni heri anaefahamika ana roho au imani za kishetani kuliko kuwa na watu wanaojifanya kuwa wakarimu wanajali wanauchungu watu wa dini kumbe ni mashetani wakubwa..chande anaweza kuwa na roho nzuri sana kuliko raisi
Tangu lini wema ukawekwa gizani? Duniani kuna watu!Mbona kuna jambo hujajiuliza kama kuna jema kwanini waumini wake hawajitambuli shi kwenye jamii kama walivyo waislam na wakristo
Usiwaogope hawana lolote zaidi ya hofu na mashaka ndicho wanachokuzidi...Umekombolewa na dunia yote imenyang'anywa kwao ila tu wana operate in structure na deceptions...Napita tu make hawa watu wabaya sana
Kuna tofauti kati ya mama na Mama?Mungu sio mungu. kiswahili kinatambua mungu kama ile miungu ya kawaida tu.
hiki ni kiswahili na makubaliano ya wanalugha mkuu.Kuna tofauti kati ya mama na Mama?
Kuna walakini.hiki ni kiswahili na makubaliano ya wanalugha mkuu.
Hakuna tofauti kati ya mama na Mama, ila kuna tofauti kati ya Mungu na mungu au God na god.
sio mimi ni dunia ndio imekubaliana hivyo...
ngoja tupite wote mkuu...Napita tu make hawa watu wabaya sana
Dah kumbe Atheists hawatambuliwi Tz ndo maana tunaimba Mungu ibariki... Asante kwa elimu mkuunakupata, Ila Tanzania hatutambui Atheists, na ndio maana Wimbo wa Taifa Tunaimba Mungu Ibariki mkuu.
hivyo kipengele cha wapingwe wote kinakuwa hafifu hapo...
Kwani kuna watu wananyimwa haki flaniflani kwenye jamii mimi naona yoyote hata wewe unaweza kuanzisha Taasisi inayotambua Uwepo wa Mungu na ukafanya yako bila usumbufu...
Juzi Taifa limepata msiba kwa kupotelewa na mkuu wa Freemason Tanzania kama sio EA mzee Chande. Mkuu wa Taasisi/Club/Dhehebu ambalo Mkuu wake anafahamika lakini waumini au members zake hatuwajui. Duniani kote kuanzia miaka ya 2000 mashambulizi misikitini,makanisani,kwa waganga, Wasanii wafuatiliaji wa mambo wamekuwa wakiishutumu Taasisi hii kama ni ya kichawi, hatari,haifai, Yenye nguvu isiyozuilika.
Sasa leo tunagundua kumbe kiongozi wa taasisi hii pingwa, ni Mtu mzuri, anamchango mkubwa kwenye jamii, hajawahi kukutwa hata na chembe ya shutuma, hata wanaomfahamu wakimuelezea kurasa hata 1000 hutachoka kumaliza wasifu mzito wa mtu huyu mashuhuri.
Wajuaji wa mambo mtusaidie, Tuchukue Freemason Ipi, Ile Inayopodwa mitaani,Mitandaoni,makanisani,Misikitini,waganga, Uswahilini hofu ya freemasonry ndio usiseme, Humu JF, au Hii ya Mzee Chande ambayo imewaunganisha wanasiasa wa upinzani, watawala na watawaliwa kumlilia. Hii ambayo viongozi wetu wote toka nyerere walikuwa wakimpenda na kuwa karibu na kiongozi wetu...
Ninaandika nikiwa na OMBWE la maharifa juu ya hii taasisi lakini ninauhakika wa Hofu(wenda ya kweli au ya kutengenezwa na wajanja wachache mitaani kwa manufaa yao) juu ya taasisi inayosadikiwa kuwa tata na ya siri iliyotapakaa Dunia nzima na inayosemekana ilianza miaka 1600BC kwa mujibu wa Uzi wa mkuu wetu wa JF Melo Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?
karibuni wadau mtutoe tongotongo sisi wa vijijini...
cc: Magazeti ya leo
![]()
Kanumba ahusishwa na mambo ya freemasonry kutokana kupishana siku moja na mkuu wake katika kifo (Gazeti la UDaku)
![]()
Mwananchi:Zitto amlilia kiongozi wa Free mason kuzikwa J4.
![]()
Mtanzania, Siri kifo cha kiongozi wa freemason
na mengine mengi yakionyesha masikitiko yake juu ya kupotelewa na mtu huyu mashuhuri nchini.
Pouwa poa muwakilishi wa uzao... Ila ungethibitisha na ushetani wao ungesaidia wengi.Kwanza nafuta maneno yako ya kuwatamkia watu kwamba wanamhusudu freemason. Ni wewe tu na watu wenye mawazo ya kishetan i kama wew endio mnahusudu umpumbvu wa kishetnai huo.
Mimi na uzao wangu hatumo miongoni mwenu. Nchi zima kwako iishie kwenye maishay yako na uyaone wee mwenyewe. Upumbave hatutaki.
Koma kutujumulisha wote.
Kuna interview ilifanywa pale msiban (video iko humu jf) kuwa chande kazikwa kwa imani ya kihinduMbona kuna jambo hujajiuliza kama kuna jema kwanini waumini wake hawajitambuli shi kwenye jamii kama walivyo waislam na wakristo