Kwanini tunaendelea kupakana rangi vidoleni punde baada ya kupiga kura 2020 licha ya kuenea kwa teknolojia hii ya alama za vidole (Fingerprinting)?

Kwanini tunaendelea kupakana rangi vidoleni punde baada ya kupiga kura 2020 licha ya kuenea kwa teknolojia hii ya alama za vidole (Fingerprinting)?

Sasa tutaiba vipi izo kura tukianza kuiachia computer ifanye authentications kwa kutumia fingerprint?
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kwanini bado tunaendelea kupakana wino/rangi vidoleni punde baada ya kupiga kura 2020 licha ya kuenea kwa teknolojia hii ya alama za vidole (Fingerprinting)?

(1) Nini mantiki ya kupaka rangi kidole cha mpiga kura ilhali jina moja haliwezi kujitokeza sehemu mbili?

(2) Kama suala ni kuzuia mtu kupiga kura mara mbili kwanini kwa maeneo ya mijini watu kusiwe na database ya wapiga kura pamoja na alama zao za vidole ili kwamba kupnde baada ya zoezi mtu anaweza alama za vidole vyake katika mashine maalum hivyo hata akienda kwingine kupiga kura mitambo inakataa kumruhusu kufanya hivyo?

(3) Kama haiwezekani. kwanini kusiwe na mashine kama zile za traffic kiasi kwamba mtu akimaliza kupiga kura kadi yake inachomekwa humo na kupewa ticket kisha anaondoka.

HAYA NI MAWAZO YANGU TU WAKUU, I STAND TO BE CORRECTED.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wazo zuri sana ila sio kwa Tz ya Mijiziiiii
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kwanini bado tunaendelea kupakana wino/rangi vidoleni punde baada ya kupiga kura 2020 licha ya kuenea kwa teknolojia hii ya alama za vidole (Fingerprinting)?

(1) Nini mantiki ya kupaka rangi kidole cha mpiga kura ilhali jina moja haliwezi kujitokeza sehemu mbili?

(2) Kama suala ni kuzuia mtu kupiga kura mara mbili kwanini kwa maeneo ya mijini watu kusiwe na database ya wapiga kura pamoja na alama zao za vidole ili kwamba kupnde baada ya zoezi mtu anaweza alama za vidole vyake katika mashine maalum hivyo hata akienda kwingine kupiga kura mitambo inakataa kumruhusu kufanya hivyo?

(3) Kama haiwezekani. kwanini kusiwe na mashine kama zile za traffic kiasi kwamba mtu akimaliza kupiga kura kadi yake inachomekwa humo na kupewa ticket kisha anaondoka.

HAYA NI MAWAZO YANGU TU WAKUU, I STAND TO BE CORRECTED.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kabisa
 
Ungetolea ata Mfano basi,useme mfano wenzetu wapiga kura wa Kenya au Rwanda waliweka fingprint ikatosha hivyo.

Sie wengine bila mifano hatuelewi
 
Ungetolea ata Mfano basi,useme mfano wenzetu wapiga kura wa Kenya au Rwanda waliweka fingprint ikatosha hivyo.
Kwani Tanzania haiwezi kuanzisha jambo mpaka iige kutoka nchi zingine? Mbona mnashindwa kujiamini namna hiyo?...
 
Sie wengine bila mifano hatuelewi
Kwanini kila jambo lianzie nchi zingine kisha ndio lije Tanzania? Kwani sisi hatuwezi kuanzisha jambo letu wenyewe kisha likaenda huko kwingine? Jiamini mkuu.
 
Kuiba tena? Mimi mbona sijaongelea suala la kuiba mkuu?
Mimi naulisa wewe. Kwanini kila kipindi Cha kupiga Kura huku Pemba wanakuja polisi wengi na vifaru vinatembezwa mitaani? Kwani Kuna tetesi zozote za kuvamiwa kipindi hichi?
Mbona uchaguzi bukiisha majeshi yanaondolewa?
 
Back
Top Bottom