Kwanini tunafanya kazi ngumu sana ikiwa tunafanya kazi ili tuishi?

Kwanini tunafanya kazi ngumu sana ikiwa tunafanya kazi ili tuishi?

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Hivi jamani kama tunafanya kazi ili tuishi, sasa kwanini tunafanya kazi ngumu inayopelekea kutuua?

If we work for the living,why do we kill ourself working
 
Kazi ngumu tunazifanya sisi masikini tu!!, Believe me humu Tz wapo majamaa hawatoki jasho hata la kwapa na ndani ya kila dk5 wanavuna mamilioni ya maana.
 
Back
Top Bottom