Kwanini tunafundishwa namba za Kirumi shuleni? Je Zina faida gani maishani?

Kwanini tunafundishwa namba za Kirumi shuleni? Je Zina faida gani maishani?

Nikiwa elimu ya msingi, nimecharazwa sana bakora kisa namba za Kirumi.

Huku maishani haya makorokocho hayajawahi kuniingizia hata Senti Moja.

Kwanini wizara isiondoe masomo haya yakishenzi yasiyo na tija kwa taifa letu?
Wewe ulisoma kwa lengo la kupata pesa?
 
Nikiwa elimu ya msingi, nimecharazwa sana bakora kisa namba za Kirumi.

Huku maishani haya makorokocho hayajawahi kuniingizia hata Senti Moja.

Kwanini wizara isiondoe masomo haya yakishenzi yasiyo na tija kwa taifa letu?
Simply kwa kuwa tunazitumia. Ukiambiwa taja orodha za nishati mbalimbali, unatumia tu namba za Kirumi
i. Sound
ii. Light
iii. Chemical
iv. Electrical
v. Mechanical
vi. Heat
 
Back
Top Bottom