Kwanini tunakimbilia India kwa Tiba?


I real support you and their is no better way I can explain.Kwenye ujamaa tulikuwa nafuu zaidi kuhusa sasa, mara nyingi nawaambia watu hilo na wanabishi lakini ukweli ni ukweli hata ukibisha.
 

Hawa wa Sh$%#zi wametushika pabaya sana,Uamuzi wa caliber hiyo unatolewa na wao!guess what!they will never make such a decision.

kwa hiyo mzee unaposema tuwakatalie tuwakatalie vipi?tulale pale njiapanda ya kipawa kuwazuia wasipande ndege?

mwananchi wa Tanzania ya leo yuko Screwed big time,NOBODY i mean NOBODY is willing to do nothing to help them,NOT our doctors,not our proffesionals,not our leaders,kila mtu ni mwizi tu,dirty gold diggers who only thinks of their egos and what they get out of every situation.

Kwa nchi kama Tanzania,kuwa na Hospitali ya Maana it would have taken just 3-5 years.

Kama wameweza kujenga UDOM,Uwanja wa Taifa(this was really a shity decision).,wanaweza kujenga hospitali za maana si chini ya 5 na kuzi-equip.

sasa hvi wanajenga uwanja wa ndege wa "kimataifa"..,this tells where our priorities are..,so far from average joes!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…